Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
kwa tathmini nyepesi ya yanayojiri kichwani mwa mh. augustine mrema ambaye ni mwenyekiti wa TLP, mnadhani ya urais wa JMT atampigia nani mwaka huu, JK (CCM), DR slaa (CHADEMA) au mutamwega mugahywa (TLP)?