mayome
Member
- Jan 17, 2012
- 62
- 21
Ujana wake nayo ni sifa? kwani ukiwa mzee huwezi kuwa rais?
sababu za kuto mchagua Zitto Kabwe
1. hana sifa ya kugombea urais coz hajatimiza umri unaotakiwa na sheria
2. hana sifa ya kugombea coz ana uchu wa madaraka
3. hana sifa ya kugombea urais coz hana Busara na hekima
4. hana sifa ya kugombea coz anatumiwa na ccm
Cogratulation coz umetoa sababu na maoni yako ila naomba nikucrush kidogo
1. hana sifa ya kugombea urais coz hajatimiza umri unaotakiwa na sheria co kweli kwakua ye anafahamu hiyo factor na ameamua hivyo kwakua anajua umri wake
2. hana sifa ya kugombea coz ana uchu wa madaraka hii yaweza kua kweli kwakua ameamua mwenyewe kugombea
3. hana sifa ya kugombea urais coz hana Busara na hekima Busara anazo sana ndo maana akitoa point ya msingi hua ikitoa hoja yoyote hatakama ni nyeti kiasi gan hua hapigi makelele kwa wananchi kila mara badala yake anatoa ushauri kwa mamlaka husika, hii ni tofauti na Dr slaa ambapo yeye hua kila mjadala anaouleta lazima atafute nguvu ya maandamano ya wananchi. hapo kwelikuna busara gan jaman kama kila kosa la serikali bac tunaambiwa tuandamane?
4. hana sifa ya kugombea coz anatumiwa na ccm. hii ni kwasababu zito ni mshauri mzuri kwa ccm mbali na kua mpinzani wao na hii ndo busara na uzalendo wa kujenga nchi yetu
Note: am sorry mkuu for these coments naamin ndan ya points zako na me utazipata zakwangu japo hazijafika 4 kama alivyoagiza mtoa mada hapo juu.