zitto atapata kura nyingi akigombea urais kuliko slaa,Slaa ni mzee kwa sasa.
subiri uone udini wa chadema watakavyomrukia ZITTO. wanajua zitto ni kichwa kupita hata huyo slaa lakini slaa wanampenda kwa kuwa ni PADRI.
***** tusubiri uone udini wa chadema watakavyomrukia ZITTO. wanajua zitto ni kichwa kupita hata huyo slaa lakini slaa wanampenda kwa kuwa ni PADRI.
Mimi siwezi kutoa maoni.....kumuweka dr.slaa na zitto kishoka nadhani ni dharau sana......zitto hajafika hata robo ya dr.slaa kwa hiyo kura ya maoni ni dharau kwa kiongozi mwenye heshima km dr.slaa.....sijui labda zitto umshindanishe na shibuda ingefaa kwani hata kwa mnyika au lema haingii
tuacheni dharau kwa rais wetu
Zitto ni mbunge wa chadema Slaa ni nani? je unajua mbunge hupatikana vipi je hao waliompa zamana ya kuwaongoza ni wa chama gani mimi ni chadema damu lakini ukiniuliza kuusu hawa wawili naona Zitto zaidi ya Slaa katika siasa labda kwa uongozi wa kanisa naweza kumpa Slaa kama atakuwa hana mke kwani sisi wakatoliki mapadri wetu hawana ruhusa ya kuowa.
hivi hummer na vogue kanunuaje?
5 Padri mstaafu!Dr. Willbrod Slaa....
1.Muadilifu
2.Mzalendo
3Hatumiki
4.Atatufikisha pale mahali tunataka.