Kijana Msomali
Member
- May 10, 2012
- 92
- 71
Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.
Kama vile shibuda.....!?subiri uone udini wa chadema watakavyomrukia ZITTO. wanajua zitto ni kichwa kupita hata huyo slaa lakini slaa wanampenda kwa kuwa ni PADRI.
subiri uone udini wa chadema watakavyomrukia ZITTO. wanajua zitto ni kichwa kupita hata huyo slaa lakini slaa wanampenda kwa kuwa ni PADRI.
karibu kiti moto mkuu...subiri uone udini wa chadema watakavyomrukia zitto. Wanajua zitto ni kichwa kupita hata huyo slaa lakini slaa wanampenda kwa kuwa ni padri.
hivi hummer na vogue kanunuaje?
Hivi anajua kutumia computer?Kama vile shibuda.....!?
Tumia hata kilibaki kwenye kichwa chako.
Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.
WAtasema sana lakini wanajua kwamba ZITTO ni jembe hakuna kama yeye Chadema.
Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.
hivi hummer na vogue kanunuaje?
Nani ana hummer na voguehivi hummer na vogue kanunuaje?
Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.