KASHOROBANA
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,241
- 963
Naomba muwafikishie meseji pia salamu hao wanaojitangazia kuwania uraisi nje ya vikao halali vya chama, wambieni tumewabahini kuwa wanatumiwa na ccm baada ya ccm kuona haitawezekana kumshinda kirahisi dr wa ukweli, kipenzi chetu.
Dr w slaa, aka baba wa taifa wa ukweli baada ya j . K nyerere
Dr w slaa, aka baba wa taifa wa ukweli baada ya j . K nyerere