uzaifu wa kwanza wa zitto ni kuwa yuko bungeni lakini kapitisha sheria ya kuwanyonya wafanyakazi mafaotuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya zitto zuberi kabwe ama wilbroad peter slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na kwa nini? Toa sababu kuu nne tu.