Watanzania tuache siasa kwenye mambo ya msingi Tanzania ni ye2 wote c ya jk, au WARIOBA ni ya watanzania kwa ujumla chamsingi ni kutatua kero sugu zinazotukabili watanzania wa hari ya kawaida. Tukijipanga vizuri na kuweka itikadi zetu za vyama pembeni tutatengeneza katiba bora na yenye kumpa nafuu mlalahoi