Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,661
Naona umeshachukua card ya CCM hivi ni namba ngapi?Serikali 2 ndo mpango mzima! Tukiendekeza 3 Serikali ya Muungano itakuwa haina hata ardhi (ardhi si suala la Muungano) na itakuwa ombaomba kwa nchi washirika kwa kuwa haina vyanzo vya mapato vya kwake!