Kuna tetesi kwamba ile monthly allocation kwa ajili ya matumizi ya kawaida ya mawizara imepungua tangu kuanza kwa kampeni, ndo kusema fedha zaenda kwenye kampeni? Mtujuze mlio serikalini.
inawezekana maana hii nchi aise hapana......waziri,naibu waziri,katibu mkuu,naibu katibu mkuu yani wote ni wateule wa raisi sasa unategemea wizarani fedha zisiwe located kwenye kampeni kweli
Hilo halina shaka ndugu yetu. Taarifa rasmi zinasema kuwa JK amekomba account za serekali kwa ajili ya uchaguzi, na lilolokula pesa nyingi ni la picha zilizoprintiwa canada.
Haitoshi...mfano wakuu wa vyuo vya elimu ya juuu tayari wako kwenye mizunguko ya kuwaeleza wafanyakazi wao kukata matumizi yasiyo ya lazima, inashangaza..research, consultance, fieldwork inakuwa sio lazima kipindi cha kampeni.
Kwenye halmashauri wameambiwa hakuna hela kama shughuli hazihusiani na uchaguzi mkuu....seee?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.