hope 2
Senior Member
- Apr 28, 2010
- 154
- 7
Kwanza fahamu kwamba kwa mwanamke the less she does the less she wants, tofauti na mwanaume ambae the less he does the more he needs.
Pili mke wako anaweza kua amepoteza interest sababu kazi za mtoto, changa na kazi za nyumbani, zimemzinga. hivo hana muda kabisa za kufikiria maswala ya kukupenda.
Jaribu hivi:
Good luck
- tafuta ndugu yake atake kaa hapo home wawe wanasaidiana. unaweza kuleta housegirl ila anahitaji mtu wakuongea nae mambo yake.
- wakati haupo hakikisha anajua unamkumbuka na unamtamani, aanze kufahamu kwamba ukija utahitaji mamboz
- ukiwa nae usifocuss sana kwenye ku-do. sex inaanza kwenye maongezi na alama mbali mbali mchana kutwa na jioni, usiku mnakamilisha tu (na manaweza kamilisha hata mchana, it doesn't matter)
- Usijiulize atakusaidiaje kumaliza shida zako, jiulize anashida gani na utamsaidiaje kuzimaliza, alafu ndio ufikirie shida zako hizo
- ongea nae kuhusu issue ya "K" yake kubadilika. inaweza kua sababu ya uzazi, ila faham hawezi kuanza kubadilika kama hajui anatatizo hilo. akijua atatafuta ushahuri kwa shangazi na ataambiwa cha kufanya.
There you are..
Am facing the same issue and i was about kuomba ushauri hapa, sio tu kwamba nakua sina hamu ya kufanya mapenzi ila hata ile hali ya upendo imepungua. Distance relationship/marriage ni mbaya mno.
Mtoa mada badala ya kumfikiria mkeo kua anaku-cheat, tafuta namna ya kumpenda na kumsaidia, umbali unaweza kua umemwadhiri sana na hakutegemea kama ataishi peke yake kwa mda kwa sababu ya kutenganishwa na kazi au kitu kingine...