Kupungua au kukosa hamu ya kufanya mapenzi (low sexual libido or loss of libido)

Mrs Mtaba

Senior Member
Jan 21, 2009
104
6
1:
Za leo wandugu, naomba kuuliza na kutaka kujua.

Mimi niko kwenye ndoa ya kama miaka 2 sasa. Kwa kweli imekuwa na furaha zake pia ni vikwanzo vingi. Imefikia sasa mimi najishangaa sana kuwa nimeishiwa hamu kabisa na mme wangu na ninamuona mbaya sana. Nakaa na kujiuliza ilikuwaje mpaka nikaolewa nae.

Nimefikia hatua yakufanya mambo ili nimuudhi aniache tuu.

Sijui sasa nifanye nini zaidi cha kumuudhi, nisaidieni.

2:
Natumaini wote ni wazima wa afya inshalaah.

Kwa kifupi Nina rafiki yangu mpendwa (Msichana) ana tatizo ambalo kwa kweli mi sijui hata nimsaidiaje, ni meona si vibaya kuliweka hewani tukasaidiana mawazo.

Ni binti mwenye umri wa miaka 23 tatizo lake kubwa hajawahi katika maisha yake yote toka avunje ungo kujiskia hamu ya kufanya mapenzi. Ana mpenzi ila mara nyingi wakiwa faragha huwa kama anamfurahisha mwezake kwa sababu hana anacho jiskia hata aguswe wapi. Mara ya kwanza kunieleza mi nilimshauri aende hospitali akaonane na dakatari wa wanawake huenda Homoni za kike zikawa zimepungua au akagundulika tatizo lingine lolote linalo weza kusababisha hiyo hali; Nashukuru Mungu kwani alinisikiliza na kwenda hospitali ya regency ila majibu yalipo toka alionekana kila kitu kiko normal.

Sasa sijui hata nimsaidiaje coz kuna kipindi nilimuuliza kama huwa anaota ndoto za mapenzi mara kwa mara kwa sababu nilisha wahi kusikia hata kusoma kwenye vitabu kuwa kama una Jini Mahaba basi kuna uwezekano hali kam yake ikajitokeza; ila ilinihakikishia kuwa hajawahi hata siku mwoja kuota ndoto za namna hiyo. Jamaa yake anampenda sana na hivi majuzi jamaa ansema anataka kuja kutoa posa ili ajichukulie jumla jumla anahisi atateseka sana kwenye ndoa coz hata pata hiyo raha ya chakula cha ndoa.

Naomba tumsaidie jamani afanyaje??

3:
Habari za kazi wandugu,

nipo tutani naomba msaada wenu ili niweze kumfurahisha mpenzi wangu. Lately nimekuwa sina hamu ya kufanya mapenzi kabisa hata nikifanya nakuwa natimiza wajibu tu ili mwenzangu asijisikie kua simjali coz ananipenda sana na ninampenda sana. Nifanyaje ili niweze pata hamu na kufurahia mapenzi?

Asanteni sana.

4:

PSI Factor said:
Ni post yangu ya kwanza kwenye jukwaa hili na nimefikia uamuzi wa kuandika hapa kwakuwa nimeona wadau wengi wakitoa maoni ambayo kweli yanaonyesha kusaidia.

Tatizo langu ni dogo kwa wengine lakini kwangu kubwa sana. Mke wangu hana hamu ya tendo la ndoa na inakuwa vigumu kuweza kumlazimisha tufanye tendo hilo kwani najiona kama namwonea. Mimi nakuwa na ashki sana lakini sina jinsi hivyo nalazimika kuvumilia. Sijafikiria kutoka nje ya ndoa kwani sidhani kuwa hili litakuwa suluhisho la tatizo langu.

Kabla hajajifungua hali ilikuwa nzuri (kiasi) lakini baada ya kujifungua mtoto wa kwanza tu, hali imekuwa mbaya sana. Hana hamu kabisa, hata ninapojitahidi kumwandaa anaamua kuruhusu tufanye tu ili mradi niridhike.

Tuna watoto wawili, wote wa kike.

Tofauti na hili, sina tatizo jingine kwenye ndoa lakini kama sijajitutumua naweza kukosa tendo hili muhimu hata kwa mwaka kwakuwa yeye haoni umuhimu wake sana.

Anatambua tatizo hili, tumelijadili mara kadhaa lakini hatujajua ni daktari gani tumwendee na dawa gani zaweza kutumika.

Nampenda mke wangu, namwonea huruma kwa hali hii na naamini huenda siku moja nikapata tiba ya tatizo hili. Wenzangu mmewahi kukumbana na hali hii? Mliikabili vipi? Kuna dawa? Kuna daktari?

5:
Habari za leo wana JF. Natumaini hamjambo wote.

Ndugu zangu naombeni ushauri. Mimi nina miaka 2 kwenye ndoa yangu. Tumepata mtoto mmoja. Mke tangu mwanzo alikuwa ni mtu mwenye kuyaweza mambozi kweli kweli. Lakini tangu nilipoanza kazi za migodini, nikirudi likizo nimekuwa nikiona mke wangu haoneshi kuwa na hamu ya kukutana na mimi kana kwamba tulikuwa wote muda wote. Pia ukifanya majambozi nagundua kuwa ishu yake imelegea, ina maji maji kibao tofauti na mwanzo ambapo ilikuwa tight, kavu tena ya moto; haoneshi ushirikiano wakati wa majambozi.
Nilipomuulika akaanza kudai o mara unajua nakuwa na mawazo juu ya nyumbani mara oh unajua mtoto ananinyonya sana.

Nakuwa na wasiwasi huenda anachakachuliwa.

Naomba ushauri jamani.

6:
Habari zenu wapendwa...

Poleni kwa uchovu wa swaumu kwa wale mliofunga, na ambao hamjafunga poleni kwa pilika pilika za kusaka tonge!

Mimi ni mdada mwenye umri kati ya 20 to 30....nina tatizo kubwa sana linalosumbua moyo wangu.

Yaani tangu nikue sijawahi kupata hamu ya tendo la ndoa mpaka sasa niko kwenye ndoa sifurahii chochote japo mwenzangu ni mtundu sana na anajitahidi kunifanyia kila awezalo lakini wapi sisikii kitu...

Najaribu kueka hisia zangu zote kwenye tendo pia haisaidii kitu!!!!!!!....nshaenda hosp kubwa kubwa zote nikafanyiwa kila aina ya vipimo na madr wakasema sina tatizo lolote lile,,,,,,,.........nko sawa..........

Nikaenda mpaka kwenye tiba za asili lakini wapiiiiiiiii hakuna kitu,,,....yaan sijawahi kusikia hamu ya tendo hata siku moja na wala kupatwa na nyege kama wanawake wenzangu naishia kusikia kwa wenzangu tu,,......mmoja wa rafiki angu akanishauri nije hapa JF naweza pata msaada,,....

Pia sikuishia hapo nikaenda mpaka kwa psychologists mbali mbali waka nitrain but pia sikuona mabadiliko yoyote,,....nkaenda mpaka kwa kungwi mashuhuri hapa Dar es Salaam lakin pia sikupata msaada wowote ule yaani hali haijabadilika.......

Jamani nateseka mwanamke mwenzenu,,......kwa yoyote mwenye kujua dawa yoyote ile iwe ya vidonge ya maji au yoyote ile yenye kuleta hamu ya tendo la ndoa tafadhali ani pm anisaidie,,,......pesa kwangu si tatizo ninachohitaji ni dawa tu........

Yaani urembo na umbo uzuri nilojaaliwa nalo lakini furaha ya ndoa sina hata kidogo.....yaani sina nyege kabisa hata niandaliwe vipi sisikii kitu naishia ku-pretend tu ili kuhofia kumuuzi mwenzangu...

Pia hicho kitu kukojoa kwa mwanamke nafanya kusikia kwa wenzangu tu ila mm kama mm sijawahi kukojoa wala kupata nyege,,...nisaidieni tafadhali.....maana very soon nataka kwenda India kwa tatizo hili.....

Ahsanteni, nategemea kupata tiba, mawazo mazuri na yenye busara kutoka kwenu wapenzi.........

Natanguliza kuomba msamaha kwa maandishi mengi ila nimejaribu kujielezea sana ili nipate kueleweka vizuri. Naombeni msaada wenu tafadhali, taja aina ya dawa na inapopatikana,,...ahsanteni.........

Nawapenda sana...!

7:
Wakuu heshima kwenu !

Naombeni mnisaidie jinsi ya kurudisha libido. Mimi ni mwanamke wa miaka 31, nimeolewa miaka 5 iliyopita na nina watoto wawili. Nina tatizo la kutokuwa na hamu ya sex. Na hata ikiwepo inaisha muda mfupi sana. Mume wangu wangu akienda raundi ya kwanza tu mimi basi nakuwa sina hamu tena. Hii hali sikuwa nayo kabla.

Situmii njia za kisasa za uzazi wa mpango zaidi ya kalenda wala kileo chechote ila wakati mwingine nikikutana na mr tarehe za hatari nameza morning after pill.

Mnisaidie njia za kurudisha waungwana. Najisikia vibaya sana, maana nahisi simtendei haki mume wangu.

Asanteni

8:
Habari za muda huu wana MMU.

Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 nimeolewa na ndoa yangu ina miaka miwili sasa.

Kilichonileta kwenu leo ni kuomba ushauri na tiba kwa ajuae, tatizo langu ni ili ukweli mimi sijawahi kusikia raha yoyote katika tendo la ndoa, kabla sijaolewa niliwahi kuwa na uhusiano na mkaka mmoja ambaye tulidumu kwa mwaka mmoja tukaachana kwa sababu ambazo hazikuweza kuzuilika ila hata kwa huyo mkaka sijawahi kusikia raha yoyote.

Kwa upande wa ndoa yangu namshukuru Mungu inaenda vizuri ingawa matatizo ya hapa na pale yapo mara moja moja, sijawahi kumshirikisha mume wangu kuhusu tatizo langu kwa sababu naogopa atajisikia vibaya.

Mimi sio mwandishi mzuri naomba msinihukumu kwa hilo, natanguliza shukurani zangu za dhati.


Ushauri wa wadau:

Soma hii post: https://www.jamiiforums.com/jf-doct...l-libido-or-loss-of-libido-9.html#post4104552 na hii https://www.jamiiforums.com/jf-doct...l-libido-or-loss-of-libido-5.html#post6794617

Low libido

Libido naturally diminishes as men age. Testosterone, the hormone primarily responsible for sex drive, begins to decline in the body by about 1 percent every year beginning around the age of 30. This is perfectly natural, though healthy men can take steps to boost libido at virtually any time in life. "There is no age beyond which sex drive is not possible or therapeutically helpful," says Dr. David Plourd of the Naval Medical Center in San Diego.

However, a drooping libido can also indicate an unhealthy body or mind. Most notably, low testosterone is a symptom of excess body fat, since fat both inhibits testosterone production and breaks down testosterone already in the system. Depression, anxiety and stress can each reduce libido, as can excessive alcohol intake.

Note that sexual drive and erections are discrete physiological matters: Libido is determined by testosterone, while erections are dependent on blood flow and nerve sensitivity.

Possible indications:
  • Obesity
  • Diabetes
  • Mumps
  • Tumors on pituitary or hypothalamus
  • Excessive alcohol intake
  • Sedentary lifestyle
  • Depression
  • Anxiety
  • Stress
What to do:
  • Improve your diet and exercise
  • Reduce abdominal fat
  • Consider talking to a shrink
  • Get a blood test
For men with little sexual desire it is sometimes enough to have one or a few conversations in which they can express their feelings and ask questions about the extent to which their situation is abnormal.

Counselling about reduced desire in stressful situations like death, unemployment, disease of the partner or stress at work can be sufficient. If all sexual interest has disappeared, and there is no masturbation either, the hormonal regulation should be examined. When anomalies in this are found, medication can be prescribed.

There are no standard treatments for a reduced interest in sex. Depending on the causes of the complaints a treatment will be set up. Physical causes are also treated depending on the cause. The lack of interest in making love due to certain medication is treated by using other medication or another dose. Psychological causes can best be determined and treated by a sexologist.

Psychotherapy, which studies and treats the psychological causes, can be important in this. It is important to understand that thoughts often go through the mind while making love which negatively influence the interest in sex. Social influences, e.g relation problems, stress at work, etc. are treated by relation therapy or psychotherapy. A sexologist can use different forms of therapy to determine and possibly influence the thoughts about sex.
Mke wangu alikuwa na tatizo hilo kipindi fulani baada ya uchumba wetu. Hata kwenye ndoa mwanzoni alikuwa hivyo. Nilijitahidi kila namna mpaka ikafikia hatua nikawa najisikia vibaya sana kumbe tatizo lilikuwa hili.....

Alikuwa na siri zake ambazo hakuwahi kuniambia! Mambo ya nyuma ya maisha yake(sio ya kimapenzi). Alishanyanyaswa sana na walezi wake. Kuna kubwa zaidi ya hilo alikuwa anasita kuniambia....

Alikuja kuniambia siku moja. Maskini ningekuwa simpendi kwa dhati ningemuacha ila kumbe Mungu alimchagua yeye kuwa wangu. Mimi nilihisi tatizo hilo(la kiafya) tangu siku ya kwanza namuona NA maajabu ndio lilinifanya nimpende zaidi.

Ee bana tangu hapo anapiga show balaa. Juzi juzi tu kanitoa knock out nikaanguka kitandani chini kanifuata huko huko,,,, hapa kurudi home natetemeka maana najua nikifika kwisha habari yangu.

ONDOA SIRI ZAKO KICHWANI KWAKO!
 
kabla sijakushauri nina maswali
....mumeo ana umri gani na wewe una umri gani niambie range...mfano 11-15

.....upo kwenye ndoa muda gani?
 
kabla sijakushauri nina maswali
....mumeo ana umri gani na wewe una umri gani niambie range...mfano 11-15

.....upo kwenye ndoa muda gani?

Range yety iko 35 kwa 46. mda ktk ndoa ni kariabia 2 years hivi! Mmmmh
 
Hiki kizazi cha karne hii sijui kina matatizo gani!

Ni kitu gani kilikusukuma hadi ukaingia kwenye hiyo ndoa? Kwa mana inawezekena kuna kitu ulikuwa unapata ama ulitaraji kupata kwa bahati mbaya sana hakipo,then ukajikuta unajenga chuki.

Vinginevyo ningekuwa wewe ningesafiri hata kwa mwezi then nikirudi niangalie kama kutakuwa na mabadiliko yeyote kuliko kumfanyanyia maudhi mwenzako.

Haumtendei haki kabisa.
 
Duu kwa hiyo Mrs Mtaba unaomba ushauri hapa JF? Ingependeza hata kabla ya kuolewa ungekuja hapa kuomba ruhusa. Ukitaka muudhi kulana tigo na best friend wake halafu mwambie mzee kuwa unagawa tigo ile mbaya....na pia hujisikiii kufanya tendo la ndoa katika hali ya kawaida....hapo lazima utaachika uende kule ulikozoea kwenye ufirauni.....

Ni ushauri uloomba
 
Duu kwa hiyo Mrs Mtaba unaomba ushauri hapa JF? Ingependeza hata kabla ya kuolewa ungekuja hapa kuomba ruhusa. Ukitaka muudhi kulana tigo na best friend wake halafu mwambie mzee kuwa unagawa tigo ile mbaya....na pia hujisikiii kufanya tendo la ndoa katika hali ya kwaida....hapo lazima utaachika uende kule ulikozoea kwenye ufirauni.....

Ni ushauri uloomba

A sounding idea if could be possible.
 
...usishangae Mrs Mtaba, mbona ni kawaida tu hiyo...mid life crisis imekuanza mapema kidogo.

huenda licha ya kumchukia mumeo, unajichukia pia mwenyewe, labda na kazi yako, ...na maisha unayoishi...

Nini imekupelekea kufikia hatua hiyo? Kipato? umenenepeana? low sex drive? mawasiliano finyu ndani ya nyumba? mna mtoto/watoto nyie? labda u mjamzito? ...ushawahi kujiuliza yote hayo??

ni kweli unataka talaka au unajaribu?
 
...usishangae Mrs Mtaba, mbona ni kawaida tu hiyo...mid life crisis imekuanza mapema kidogo.

huenda licha ya kumchukia mumeo, unajichukia pia mwenyewe, labda na kazi yako, ...na maisha unayoishi...

Nini imekupelekea kufikia hatua hiyo? Kipato? umenenepeana? low sex drive? mawasiliano finyu ndani ya nyumba? mna mtoto/watoto nyie? labda u mjamzito? ...ushawahi kujiuliza yote hayo??

ni kweli unataka talaka au unajaribu?

Naitaka na naitafuta indirect ways sii ipati. Mambo ni mengi na uliotaja hapo juu yakiwemo kasoro mtoto,siomjamzito.
 
Mrs Mtaba,

Una mashetani tena una ''Jinni Mahaba'' nitumie private message nikusaidie, tena nna-shaka hii sio ndowa yako ya kwanza, ya kwanza ilidumu kidogo, mambo yakawa hivyo hivyo. Na mara nyingi huota unafanya mamboz mpaka unamaliza, na mara nyingi hujichuwa mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana. Fuatilia programmes za Dr. Phil. unaweza kubahatisha kuona wenye matatizo kama yako na ukapata solution ya bure!
 
Ukitaka muudhi kulana tigo na best friend wake halafu mwambie mzee kuwa unagawa tigo ile mbaya....na pia hujisikiii kufanya tendo la ndoa katika hali ya kawaida....hapo lazima utaachika uende kule ulikozoea kwenye ufirauni.....

Ni ushauri uloomba
The best ushauri....hamna unafiki ukitaka kuachika always fanya baya machoni kwa mpenzi wako....nafikiri ukifanya hivi(na ufanye kweli) nakuapia utachukua round utakuwa a.k.a msimbe free tena free....
Pole sana. Fuatilia programmes za Dr. Phil. unaweza kubahatisha kuona wenye matatizo kama yako na ukapata solution ya bure!
acha uongo wako na ushauri wa kinafiki....kasema hataki kudumisha ndoa yake anataka kuachika....
 
Mrs Mtaba,

Ilikuwaje hadi ukaolewa nae pengine ni kutokana na mfumo katika jamii zetu kwamba wanawake hawana choice, unasubiri atakaye kutafuta.

Mwanaume wa kwanza anakutest akiona hufai anakuacha, wakikutest wawili watatu utaitwa malaya! Mwanaume hata akiwa nao kumi na sita, yeye ni kidume cha mbegu!

Ushauri: wala usimuudhi mwenzio, ondoka kama ifuatavyo ukachezewe na wanaume wengine. Hakuna mwanaume mzuri isipokuwa yule responsible na anayekujali kwa shida na raha; na hakuna mapenzi ila yaende na compatibility, kumpata mliye compatible ndio kasheshe, nae awe hakupendi.
 
Last edited by a moderator:
Ilikuwaje hadi ukaolewa nae pengine kutokana na mfumo katika jamii zetu kwamba wanawake hawana choice, unasubiri atakaye kutafuta.

Mwanaume wa kwanza anakutest akiona hufai anakuacha, wakikutest wawili watatu utaitwa malaya! Mwanaume hata akiwa nao kumi na sita, yeye ni kidume cha mbegu!

Ushauri: wala usimuudhi mwenzio, ondoka kama ifuatavyo ukachezewe na wanaume wengine. Hakuna mwanaume mzuri isipokuwa yule responsible na anayekujali kwa shida na raha; na hakuna mapenzi ila yaende compatibility, ila huyu mliye compatible kumpata ndio kasheshe.

...and vice versa eeeh?
 
Back
Top Bottom