Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,703
Tupo serious yeye ndio haeleweki.Mara ya tatu leo sister anatoa shida ya kilove connect.....men hebu kueni serious!!!!!!
Tupo serious yeye ndio haeleweki.Mara ya tatu leo sister anatoa shida ya kilove connect.....men hebu kueni serious!!!!!!
Tupo serious yeye ndio haeleweki.
Mungu mbele genekai
MBONA WANAOTAFUTA UCHUMBA HUMU ACCOUNT ZAO ZOTE ZINAKUWAGA MPYAA! wazoefu vipi?
Jina langu: irene
Jinsia yangu: mwanamke
Umri wangu: 32 - 35
Elimu yangu: chuo
Natafuta: rafiki mvulana kwa ajili ya long term relatioship mpaka ndoa
Miaka yake: 33 - 38
Nchi atokayo: tanzania,kenya ,uganda
Nchi ninayoishi: Tanzania
Muonekano wangu: kawaida
Umbo lake: asiwe mnene sana, wala asiwe mrefu sana wala mfupi,wala mwembamba
Kabila yake: awe kabila yoyote, mchaga au mpare watapewa kipaumbele zaidi
Dini yangu: mkristo
Dini yake: awe mkristo, mlutheran au mkatoliki
Sigara (mimi): sivuti sigara
Sigara (yeye): asiwe mvutaji wa sigara
Pombe (mimi): sinywi pombe hata kidogo
Pombe (yeye): asiwe anakunywa au awe anakunywa kidogo ilaasiwe mlevi
Oa/olewa (mimi): sijawahi kuolewa
Oa/olewa (yeye): awe hajawahi kuoa
Mtoto (mimi): sina
Mtoto (yeye): ni sawa tu ila awe na maelezo ya kuridhisha
Simu yangu: nitatoa baadaye tukifahamiana zaidi
E-mail yangu: irenemkapa@yahoo.com
Maelezo zaidi: napenda rafiki mstaarabu, mpole, mwenye hekima na busara. Pia awe na malengo kwa ajili ya maisha ya baadaye, asiyekuwa muasherati , mwenye upendo wa kweli pia mwenye nia ya kujenga na kuwa na familia bora iliyojaa upendo. awe tayari kupima ukimwi
wewe ni mnyamwezi?
Biblia inasema Mwanamke mpumbavu hujenga nyumba kwa mikono yake, halafu HUIBOMOA KWA MIKONO YAKE MWENYEWE NA KUANZA KULAUMU KILA MTU LAKINI SIO YEYE MWENYEWE ALIYEIJENGA NA KUIBOMOA!!@ LE MUTUZ STRAIGHT TALK!!: Kwa wale mnaolia sana kwamba Le Mutuz anapenda sana Mabebs, naomba kuwauliza eti mngependa NIPENDE NINI HASA NA MIMI NI MAMEN AFU BACHELOR? HA! HA! HA! I mean just shut up and mind your business kama vipi!! au show me unataka nipende nini? ha! ha! - LE MUTUZ
ni wazoefu ila wanacheza na akili zetu kubadili id
da kigezo kimoja kimenitoa njeJina langu: irene
Jinsia yangu: mwanamke
Umri wangu: 32 - 35
Elimu yangu: chuo
Natafuta: rafiki mvulana kwa ajili ya long term relatioship mpaka ndoa
Miaka yake: 33 - 38
Nchi atokayo: tanzania,kenya ,uganda
Nchi ninayoishi: Tanzania
Muonekano wangu: kawaida
Umbo lake: asiwe mnene sana, wala asiwe mrefu sana wala mfupi,wala mwembamba
Kabila yake: awe kabila yoyote, mchaga au mpare watapewa kipaumbele zaidi
Dini yangu: mkristo
Dini yake: awe mkristo, mlutheran au mkatoliki
Sigara (mimi): sivuti sigara
Sigara (yeye): asiwe mvutaji wa sigara
Pombe (mimi): sinywi pombe hata kidogo
Pombe (yeye): asiwe anakunywa au awe anakunywa kidogo ilaasiwe mlevi
Oa/olewa (mimi): sijawahi kuolewa
Oa/olewa (yeye): awe hajawahi kuoa
Mtoto (mimi): sina
Mtoto (yeye): ni sawa tu ila awe na maelezo ya kuridhisha
Simu yangu: nitatoa baadaye tukifahamiana zaidi
E-mail yangu: irenemkapa@yahoo.com
Maelezo zaidi: napenda rafiki mstaarabu, mpole, mwenye hekima na busara. Pia awe na malengo kwa ajili ya maisha ya baadaye, asiyekuwa muasherati , mwenye upendo wa kweli pia mwenye nia ya kujenga na kuwa na familia bora iliyojaa upendo. awe tayari kupima ukimwi
da kigezo cha wembamba kimenitoa nje