Mupirocin
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,739
- 744
- Thread starter
- #21
Nawashukruni kwa majibu yenu mazuri, ingawa yapo yanayo discourge lakini mengine ni yakujega ndiyo maana tunatofutiana, likini all in all nimeyapata maoni yenu nitayfanyia kazi. jf ni nyumba ya kuelimisha hakuna linaloharbika, pamoja sana