Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,333
- 3,896
1. Jamani naomba msaada kufungua kompyuta yangu inayonidai password wakati wa kufungua. Kompyuta haikuwa na password.
Ukimaanisha haujui hiyo password na hauwezi ku-log in unless kama una guest account?Perhaps ulimuachia mtu aka-create account au yaweza kuwa ni issue na virus infection...
soma vizuri post namba 3 na fuata maelekezomkuu ukiiwasha inakuja dilogue box ya user name na password. Ni xp pro custom, kama ni virus nifanyeje?
soma vizuri post namba 3 na fuata maelekezo
nimefanya hivyo the same results occured:
windows xp pro custom by search engine, username and password required