Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,712
<br />karibuni kwenye harusi yangu Dec hii,kama bwanaharusi hajaghairi lakini!!!
<br />
Bora wewe huna uhakika maana sisi wanaume wakati mwingine ni wajinga sana!
<br />karibuni kwenye harusi yangu Dec hii,kama bwanaharusi hajaghairi lakini!!!
Dec kitambo atiii....yanaweza ibuka makubwa hapo kati!!!hahahaha shosti hujatulia...
hongera sana, usiwasikize hawa....ndoa ukiipatia tamu!
mhhh makubwa!!!
IVO EHHH?Hujasema uongo aisee. For sure tunakula raha...
Hata hivyo nina kanyumba kadogo ambako hukafaham...
wala kakaa mkao wa kubeba jumla...ila mpaka mwezi huo parefu hapo chochote chaweza tokea!halafu kwani amekaa mkao wa kughairi ghairi??????
<br />Naomba formular Mbu..................nataka niipatie yangu na mie LOL
<br />
<br />
Mwanajamiione kama unataka kuingia chaka omba ushauri kwa Mbu. Ni full kupotezwa. Yaani utakuwa umeingizwa chaka la aina yake.
wala kakaa mkao wa kubeba jumla...ila mpaka mwezi huo parefu hapo chochote chaweza tokea!
Inawezekana wewe ndio ukawa mzigo kwa mwenziomi niko single 4 nw xo kujicommit kwa mtu naona kama mzigo fulani vile
<br />Asikwambie mtu ndoa tamu sana hasa kama wote na watoto ni wazima. Mnakuwa na matumaini kupita kiasi. Tafadhali wake kwa waume msiogope majukumu.
sasa si unajifanya mpole tu mpaka december iishe?????
Wenzio ndo wanavyofanya lol
<br />Inawezekana wewe ndio ukawa mzigo kwa mwenzio
Naomba formular Mbu..................nataka niipatie yangu na mie LOLMbu wewe uzoefu ziro hata kuonja utamu wa ndoa hujawahi leo unatoa ushauri si unatuingiza chaka sasaMwanajamiione kama unataka kuingia chaka omba ushauri kwa Mbu. Ni full kupotezwa. Yaani utakuwa umeingizwa chaka la aina yake.