Kuolewa kuna raha zake!

Samawati

Member
Oct 6, 2010
90
71
Wako watu wanaosema ndoa ndoano
kwamba ndoa ni msalaba na mengine ya kuponda.
Acheni niwatajie baadhi ya raha za kuolewa!

Ukiolewa kwanza unapata kibali cha kuwa na mpenzi wako kihalali.
Raha zako ni halali! Huhukumiwi na mtu yeyote tena.

Pia unapokuwa na mume una uhakika wa ulinzi kwa maana una pa kukimbilia.
Hakuna mtu atakutishia kwa lolote. Una uhakika wa kupata msaada wakati wowote.

Ukiwa na mume unaweza kujijaribia mambo mengi kama huyo mume ni mtu mwenye
uelewa na mwenyewe msaada. Waweza kuondoka kazini ukaenda masomoni na ukajua
hutaishiwa au kupungukiwa.


faida ziko nyingi sana ............. kwa wanawake wenye kufurahia ndoa hebu nanyi elezeeni mnavyofurahia
ndoa zenu!

Waume zetu mpoooo??
 
Wako watu wanaosema ndoa ndoano
kwamba ndoa ni msalaba na mengine ya kuponda.
Acheni niwatajie baadhi ya raha za kuolewa!

Ukiolewa kwanza unapata kibali cha kuwa na mpenzi wako kihalali.
Raha zako ni halali! Huhukumiwi na mtu yeyote tena.

Pia unapokuwa na mume una uhakika wa ulinzi kwa maana una pa kukimbilia.
Hakuna mtu atakutishia kwa lolote. Una uhakika wa kupata msaada wakati wowote.

Ukiwa na mume unaweza kujijaribia mambo mengi kama huyo mume ni mtu mwenye
uelewa na mwenyewe msaada. Waweza kuondoka kazini ukaenda masomoni na ukajua
hutaishiwa au kupungukiwa.


faida ziko nyingi sana ............. kwa wanawake wenye kufurahia ndoa hebu nanyi elezeeni mnavyofurahia
ndoa zenu!

Waume zetu mpoooo??[/QUOTE]

Tupooooooooo...............
 
Hapa sitii mguu kwani mimi bado ni single,....ila naonaga mikwaruzano mingi kwenye hizi ndoa,....ingawa sijui ndio raha zenyewe au la,........anyway i will see when i get...............!
 
Wako watu wanaosema ndoa ndoano<br />
kwamba ndoa ni msalaba na mengine ya kuponda.<br />
Acheni niwatajie baadhi ya raha za kuolewa!<br />
<br />
Ukiolewa kwanza unapata kibali cha kuwa na mpenzi wako kihalali.<br />
Raha zako ni halali! Huhukumiwi na mtu yeyote tena.<br />
<br />
Pia unapokuwa na mume una uhakika wa ulinzi kwa maana una pa kukimbilia.<br />
Hakuna mtu atakutishia kwa lolote. Una uhakika wa kupata msaada wakati wowote.<br />
<br />
Ukiwa na mume unaweza kujijaribia mambo mengi kama huyo mume ni mtu mwenye<br />
uelewa na mwenyewe msaada. Waweza kuondoka kazini ukaenda masomoni na ukajua <br />
hutaishiwa au kupungukiwa.<br />
<br />
<br />
faida ziko nyingi sana ............. kwa wanawake wenye kufurahia ndoa hebu nanyi elezeeni mnavyofurahia <br />
ndoa zenu!<br />
<br />
Waume zetu mpoooo??
<br />
<br />
Tupooooooooooo!!!!!!!!!
 
Igwe huo mguu mmoja uingize ndani kwani ukiwa mmoja nje mmoja ndfani hueleweki
Ndoa tamu bana asikuambie mtu


ngoja kwanza mkuu wangu,.......unajua haya mambo ukiyaparamia utajuta kuzaliwa,....ngoja kwanza akili ikomae maake ninayo yaona na kuyasikia mengine yanahitaji ukomavu wa mawazo na akili_la sivyo unaweza jilipua
 
Mkuu Igwe kwani mpaka leo hujamuona wa kulingana na wewe au kufanana fanana na wewe. Kwani hujawasoma hawa viumbe ukawaelewa. Kwani hujajua namna ya kukaa nae maana mpaka maandiko yanasema tukae nao kwa akili. Mkuu ukimchunguza sana bata hutamla kaka
 
Mkuu Igwe kwani mpaka leo hujamuona wa kulingana na wewe au kufanana fanana na wewe. Kwani hujawasoma hawa viumbe ukawaelewa. Kwani hujajua namna ya kukaa nae maana mpaka maandiko yanasema tukae nao kwa akili. Mkuu ukimchunguza sana bata hutamla kaka

kaka ninae,...anaonekana yuko poa lakn ngoja kidogo mkuu,..si umeona watu humu ndani wanavyoleta matatizo kila kukicha_wengine wakuja kuambiwa hawapendwi baada ya kupita miaka 5,.....uuuuuuuuuuuuh!...puuuuuuuuuuuuuf
 
wako watu wanaosema ndoa ndoano
kwamba ndoa ni msalaba na mengine ya kuponda.
Acheni niwatajie baadhi ya raha za kuolewa!

Ukiolewa kwanza unapata kibali cha kuwa na mpenzi wako kihalali.
Raha zako ni halali! Huhukumiwi na mtu yeyote tena.

Pia unapokuwa na mume una uhakika wa ulinzi kwa maana una pa kukimbilia.
Hakuna mtu atakutishia kwa lolote. Una uhakika wa kupata msaada wakati wowote.

Ukiwa na mume unaweza kujijaribia mambo mengi kama huyo mume ni mtu mwenye
uelewa na mwenyewe msaada. Waweza kuondoka kazini ukaenda masomoni na ukajua
hutaishiwa au kupungukiwa.


Faida ziko nyingi sana ............. Kwa wanawake wenye kufurahia ndoa hebu nanyi elezeeni mnavyofurahia
ndoa zenu!

Waume zetu mpoooo??
tupo na nimekupata kwa nguvu ya tano. Je raha ya kuoa? Mbona wapendelea?? Je unamtii mumeo?
 
kaka ninae,...anaonekana yuko poa lakn ngoja kidogo mkuu,..si umeona watu humu ndani wanavyoleta matatizo kila kukicha_wengine wakuja kuambiwa hawapendwi baada ya kupita miaka 5,.....uuuuuuuuuuuuh!...puuuuuuuuuuuuuf

halafu Igwe wewe mara unaogopa kupapaswa mara unaogopa ndoa......... hiyo miaka 5 utakuwa umepata raha.........we ingia humo yakianza unakuja huku kuomba maushauri
 
kabisa.....<br />
Sio bure bure tu unaona walio kwenye ndoa wanapotamani wasinge ingia<br />
yamewakuta......
<br />
<br />
Mkuu hakuna kituy ambacho ni static na huwezi ukasema kuna mtu perfect hata mmoja yaani mtaoana muwe kama malaika. Ni namna utakavyoiweka na kuitengeneza ndoa yako mkimuomba na Mungu atangulie. Haya yanayotokea kati yenu ni mapito tuu mnatakiwa kupambana nayo myashinde.
 
Back
Top Bottom