Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,208
- 31,287
Wake kwa waume wamepewa majina ili waitwe na watu na si kujiita wenyewe....... Wakijiita wenyewe ni sawa na kujipigia simu.... tehe teheheee.Halafu kwanini unapenda kutaja wake za watu kila siku bila ruhusa ya wenyewe.