Usijitunze kwa ajili huyo utayekuwa nae kama mke/mme, jitunze kwa ajili ya usafi wako wewe binafsi. Kwani unatakiwa kusimama wewe kama wewe na si kwa niaba ya fulani, ukifanya mambo kwa ajili ya watu siku zote utalia maishani kwani sisi hatufanani.Napata wakati mgumu sana na suala hili.Pengine kuna ukweli kwamba ni vema kujitunza mpaka siku ya ndoa,lakini yawezekana siku ya fungate unakutana na kitu usichokitarajia mwisho wa siku yakawa ni mateso maishani.
Uwanja ni wenu!!!!!!!
hasara,
test b4.
hasara,
test b4.
Usikubali kuuziwa mbuzi kwenye gunia
Mungu mbele. Vinginevyo kama hakuwako kwenye kuwa-match yote 2 yana hasara zake na faida zake.
lazima utest kama ipo fiti vyakutosha inabana au mlegezo ni muhimu
Napata wakati mgumu sana na suala hili.Pengine kuna ukweli kwamba ni vema kujitunza mpaka siku ya ndoa,lakini yawezekana siku ya fungate unakutana na kitu usichokitarajia mwisho wa siku yakawa ni mateso maishani.
Uwanja ni wenu!!!!!!!
mhh ngumu maana siku hizi kuna vijanaume vinaoa ili kuonyesha navyo ni wanaume,mdogo wangu alikutana nacho kimoja na kiliweka msisitizo kutocheza mechi yoyote,kufika ndani siku ya ndoa kumbe joka la kibisa,kuachika soo anaona huruma namna kijana anavyomlilia asimwaibishe