Hivi kwa mama (mzazi) aliyeathirika na gonjwa la ukimwi ni salama kweli kwa mtoto kunyonya kwenye ziwa lake?
Na kama sio basi, afanyaje ili aweze kumpatia mwanae chakula yake (maziwa)?
EBF= Exclusive Breast Feeding,ni njia mojawapo inayoshauriwa kwa kinamama sero+ve.
Katika hili mama anashauriwa kutompa kitu chochote mtoto zaidi ya maziwa yake na dawa atakazoshauriwa kitaalam kwa miezi 6 za mwanzo.
Baada ya miezi hiyo mama anashauriwa kumwachisha ziwa mtoto na kumwanzishia lishe mbadala.
Akizingatia utaratibu huu na mwingine atakaoshauriwa kituoni uwezekano wa kumwambukiza mtoto kwa njia hii utadhibitika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.