Kwa haraka haraka. Hizi trekta za kisasa hazitaki janja janja kama zilivyokuwa trekta za miaka hiyo. Kila kitu ufanye kama walivyoelekeza waundaji wa trekta husika. Sasa kuzitunza kama producer mwenyewe anavyo taka, sisi huku wamiliki hatutaki maana tunaona ni gharama. Majibu yake hujitokeza baada ya muda mfupi tu.Tuambiane ukweli, kwanini watu wengi wanaziuza Trekta hizi za kisasa, Mahindra, Swalaj, Tafe, New Holland TT75, miezi michache baada ya kuzitumia?
Zamani mtu akinunua trekta tegemea umuone nayo miaka kibao.
Mkuu weka utafiti wakitaalamu hapa acha longolongo...Huo uchafu mtupu nunua Ford.