MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,345
- 11,227
Adui mkubwa wa CCM ni uelewa wa wananchi linapokuja swala la haki zao. Huo ndio mwisho wao.
Seif al Islam wa Tanzania yakupasa ufunguke macho na maskio.
2015 lazima tukupandishe karandinga...
Nipo kwenye maandalizi kabambe, 2015 nitalichukua jimbo la Iramba mashariki kupitia Chadema.