mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,848
Sasa atakayemtoa mbowe ni Nani?
Mahakama gani? hizi za kusubiri amri kutoka juu.
Mahakama gani? hizi za kusubiri amri kutoka juu.
Dpp.Sasa atakayemtoa mbowe ni Nani?
Tunajua kabisa hakukamatwa sababunya Katiba. So tunaendelea pale tulipoishiaHabari njema hizi,Mwamba arudi uraiani tuendelee na makongamano yetu ya kudai Katiba mpya.
Hapo ilipofikia tumeshaona. Tutakuwa tunasoma zile zilizotufikia hadi sasa.Wacha iendelee ili sisi wananchi tuendelee kuona nyeti za mashahidi wa mchongo na wale wanaotuma.
Mawakili wa upande wa utetezi waendelee kuwavua nguo hao wenye divisheni iii ya point 21 (A Level) hadi watoto wao wawakatae
Hatutishiki na ngozi ya Chui 😆Tunajua kabisa hakukamatwa sababunya Katiba. So tunaendelea pale tulipoishia
Alishaahidi, tutaendelea tulipo ishia.Habari njema hizi,Mwamba arudi uraiani tuendelee na makongamano yetu ya kudai Katiba mpya.
Bila mbowe makongamano hayawezekani? Mbiwe akifa na chadema itakufa?Habari njema hizi,Mwamba arudi uraiani tuendelee na makongamano yetu ya kudai Katiba mpya.
Kwahiyo kukongamana kuko palepale. Nimeipenda hii.Habari njema hizi,Mwamba arudi uraiani tuendelee na makongamano yetu ya kudai Katiba mpya.