peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,829
- 21,460
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Kule Kilimanjaro, CCM imemuamini mwenyekiti wa CCM mkoa Jambo ambalo nitakigharimu chama kwa miaka mitano. Mwenyekiti wa CCM mkoa ni swahiba mkubwa wagombea aliyepitishwa kugombea Jimbo la Moshi Mjini. Mtandao huo umekwenda mbali kiasi kuwa kaka wa Ibra Line naye amekimbilia CCM kugombea udiwani kata ya Mji Mpya, Moshi Mjini alitokea Chadema.
Hii yote ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kundi moja kujimilikisha chama. Kundi hili ni kundi la kibiashara la kimkakati la kutoa rushwa misikitini, sokoni, gereji ili kukinunua chama.mtandao huu una ufuasi mkubwa akiwemo mwenyekiti wa CCM wilaya, mwenyekiti wa CCM mkoa, diwani wa kata ya Mji Mpya kaka wa mgombea ubunge na mgombea ubunge mwenyewe.
Vikao CCM vya kumjalidi ibra line kuwa mbunge mkivifanyia kilimanjaro CCM mnajisumbua wengi ni wale wale. Vikao vya Dodoma ndivyo vyenye nafuu kwenye maamuzi. Msitegemee vikao vya mkoa vile kampuni moja namgombea ubunge.
Video: Kaka wa mgombea akirudishwa CCM na mwenyekiti wa CCM mkoa ili agombee udiwani dakika za mwisho.
Hii yote ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kundi moja kujimilikisha chama. Kundi hili ni kundi la kibiashara la kimkakati la kutoa rushwa misikitini, sokoni, gereji ili kukinunua chama.mtandao huu una ufuasi mkubwa akiwemo mwenyekiti wa CCM wilaya, mwenyekiti wa CCM mkoa, diwani wa kata ya Mji Mpya kaka wa mgombea ubunge na mgombea ubunge mwenyewe.
Vikao CCM vya kumjalidi ibra line kuwa mbunge mkivifanyia kilimanjaro CCM mnajisumbua wengi ni wale wale. Vikao vya Dodoma ndivyo vyenye nafuu kwenye maamuzi. Msitegemee vikao vya mkoa vile kampuni moja namgombea ubunge.
Video: Kaka wa mgombea akirudishwa CCM na mwenyekiti wa CCM mkoa ili agombee udiwani dakika za mwisho.