Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 8,979
- 35,512
Nazi ni lazima niikwangue mwenyewe. Maana ili iwe tamu inabidi wakati wa kukwangua niwe nakata mauno yale ya unyago. Tofauti na hapo haitakuwa tamu kwenye chakula.Si umesema huwezi toka bila Ile feni yako ya kininja, sasa nazi tunaweza nunua ambayo ipo tayar Kwa matumizi usibebe kibao beba feni🤣
Feni sibebi bhana… kwani kwako hamna AC?