Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,359
Wadau naomba Ushauri wenu. Nafikiria kuacha kupiga kura kwa kuwa tangu nianze kupiga kura, sijawahi kumchagua aliyeshinda. Sasa naona kuliko kupiga kura wakati nayempigia kura huwa hashindi, ni kama kupoteza muda wangu bure. Labda ushauri wenu unaweza kunisaidia.
Hebu angalia mlolongo huu:
Mwaka 1995 Nilimpigia Mrema, akashinda Mkapa.(CCM)
Mwaka 2000 Nikampigia Lipumba akashinda tena Mkapa.(CCM)
Mwaka 2005 Nikampigia Mbowe akashinda Kikwete.(CCM)
Kwa Upande wa wabunge
Mwaka 1995 Nilimpigia mgombea wa NCCR Mageuzi akashinda Keenja (CCM)
Mwaka 2000 Nikampigia mgombea wa TLP akashinda Ritha Mlaki (CCM)
Mwaka 2005 Nikampigia mgombea wa CHADEMA akashinda Ritha Mlaki (CCM)
Sasa niendelee kupiga kura au niache? Nauliza kwa kuwa nina allergy ya kukipigia kura CCM na ninapowapigia wapinzani huwa hawashindi.
Hebu angalia mlolongo huu:
Mwaka 1995 Nilimpigia Mrema, akashinda Mkapa.(CCM)
Mwaka 2000 Nikampigia Lipumba akashinda tena Mkapa.(CCM)
Mwaka 2005 Nikampigia Mbowe akashinda Kikwete.(CCM)
Kwa Upande wa wabunge
Mwaka 1995 Nilimpigia mgombea wa NCCR Mageuzi akashinda Keenja (CCM)
Mwaka 2000 Nikampigia mgombea wa TLP akashinda Ritha Mlaki (CCM)
Mwaka 2005 Nikampigia mgombea wa CHADEMA akashinda Ritha Mlaki (CCM)
Sasa niendelee kupiga kura au niache? Nauliza kwa kuwa nina allergy ya kukipigia kura CCM na ninapowapigia wapinzani huwa hawashindi.