Swali litajibiwa vizuri na aliyefanya hiyo sensa!.Hivi ni kweli kuwa asilimia themanini ya watu hapa jf ni wachagga?
Ndiyo !
Na sababu iliyopelekea iwe hivyo ni kwa vile ndiyo sisi pekee tuliosoma sana kuliko makabila yote Tanzania.
Swali jingine please!
Ndiyo !
Na sababu iliyopelekea iwe hivyo ni kwa vile ndiyo sisi pekee tuliosoma sana kuliko makabila yote Tanzania.
Swali jingine please!
Naunga mkono hoja.