Avanti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 1,209
- 239
Kumekuwa na taarifa za kuhusu huyu wakili maarufu wa Arusha aliyekamatwa kwa tuhuma za money laundering, kuna mtu wakati naongea naye nikaona anajaribu kumwuunganisha huyi wakili katika kufahamiana na Godbless Lema wetu wa Chadema. Hivi ni kweli huyu wakili ana uhusiano wowote (kibiashara, kindugu, kikazi, kichama, n.k) na Lema? Mwenye taarifa atujulishe tafadhali?