Jamaa ndiye aliye fadhili kampeni za Lema mwanzo mwisho
<br />Kumekuwa na taarifa za kuhusu huyu wakili maarufu wa Arusha aliyekamatwa kwa tuhuma za money laundering, kuna mtu wakati naongea naye nikaona anajaribu kumwuunganisha huyi wakili katika kufahamiana na Godbless Lema wetu wa Chadema. Hivi ni kweli huyu wakili ana uhusiano wowote (kibiashara, kindugu, kikazi, kichama, n.k) na Lema? Mwenye taarifa atujulishe tafadhali?
uzushi ! lema kafanya fund raising na mi pia nilichangia tena alikuwa na kijana mmoja aliyekuwa anataka kugombea mb rombo, but akatoswa na wanachama. acha urongo
KUMEKU ni jina la aina ya miti ya mirungi inapatikana kwa wingi maeneo ya Kariobange nchini Kenya.]Kumeku[/COLOR]wa na taarifa za kuhusu huyu wakili maarufu wa Arusha aliyekamatwa kwa tuhuma za money laundering, kuna mtu wakati naongea naye nikaona anajaribu kumwuunganisha huyi wakili katika kufahamiana na Godbless Lema wetu wa Chadema. Hivi ni kweli huyu wakili ana uhusiano wowote (kibiashara, kindugu, kikazi, kichama, n.k) na Lema? Mwenye taarifa atujulishe tafadhali?
<br />Kwani yale magari Lema unadhani alikuwa anamuzia nani kama sio huyu Wakili