Kuna tofauti gani ya kilichotokea Uchaguzi wa Zanzibar na Gambia?

Mzalendo2015

JF-Expert Member
Aug 14, 2012
6,697
9,048
Baada ya Uchaguzi huru na haki huko Gambia, upinzani umeibuka Washindi chini ya Umoja wa vyama pinzani ukiongozwa na Adamu Burrow!
Rais aliyekuwa madarakani Yahya Jammeh kwanza alikubali matokeo na kumtumia salamu za pongezi Burrow kitendo kilichopongezwa na Jumuia za Kimataifa.

Vituko vilianza baada ya Jammeh kubatilisha kauli yake kwamba Uchaguzi haukuwa huru na haki hivo hawezi kukabidhi madaraka!!!

Uamuzi wa Yahya Jammeh unafanana kabisa na kilichotokea Zanzibar mwaka jana 2015 pale ambapo Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC) chini ya Jecha Salim Jecha ilipobatilisha matokeo baada ya CUF chini ya UKAWA kuibuka na ushindi mnono kwene viti vya Wawakilishi ndani ya BMZ!

Kinachoshangaza ni kwamba Jumuia ya Kimataifa ikiwemo Jumuia ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi(ECOWAS) imeanza mchakato wa kumshauri Jammeh akabidhi madaraka kwa amani la sivyo Gambia itawekewa vikwazo vya Kiuchumi!

Swali ni kwanini hatua kama hizo hazikuchukuliwa kwa Zanzibar na Serikali ya Tanzania Bara ilhali mazingira yalikuwa yaleyake kama ilivyo Gambia? Kuna nini kilikosekana hapo? Tujadili.
 
Baada ya Uchaguzi huru na haki huko Gambia, upinzani umeibuka Washindi chini ya Umoja wa vyama pinzani ukiongozwa na Adamu Burrow!
Rais aliyekuwa madarakani Yahya Jammeh kwanza alikubali matokeo na kumtumia salamu za pongezi Burrow kitendo kilichopongezwa na Jumuia za Kimataifa.

Vituko vilianza baada ya Jammeh kubatilisha kauli yake kwamba Uchaguzi haukuwa huru na haki hivo hawezi kukabidhi madaraka!!!

Uamuzi wa Yahya Jammeh unafanana kabisa na kilichotokea Zanzibar mwaka jana 2015 pale ambapo Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC) chini ya Jecha Salim Jecha ilipobatilisha matokeo baada ya CUF chini ya UKAWA kuibuka na ushindi mnono kwene viti vya Wawakilishi ndani ya BMZ!

Kinachoshangaza ni kwamba Jumuia ya Kimataifa ikiwemo Jumuia ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi(ECOWAS) imeanza mchakato wa kumshauri Jammeh akabidhi madaraka kwa amani la sivyo Gambia itawekewa vikwazo vya Kiuchumi!

Swali ni kwanini hatua kama hizo hazikuchukuliwa kwa Zanzibar na Serikali ya Tanzania Bara ilhali mazingira yalikuwa yaleyake kama ilivyo Gambia? Kuna nini kilikosekana hapo? Tujadili.
Baada ya Uchaguzi huru na haki huko Gambia, upinzani umeibuka Washindi chini ya Umoja wa vyama pinzani ukiongozwa na Adamu Burrow!
Rais aliyekuwa madarakani Yahya Jammeh kwanza alikubali matokeo na kumtumia salamu za pongezi Burrow kitendo kilichopongezwa na Jumuia za Kimataifa.

Vituko vilianza baada ya Jammeh kubatilisha kauli yake kwamba Uchaguzi haukuwa huru na haki hivo hawezi kukabidhi madaraka!!!

Uamuzi wa Yahya Jammeh unafanana kabisa na kilichotokea Zanzibar mwaka jana 2015 pale ambapo Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC) chini ya Jecha Salim Jecha ilipobatilisha matokeo baada ya CUF chini ya UKAWA kuibuka na ushindi mnono kwene viti vya Wawakilishi ndani ya BMZ!

Kinachoshangaza ni kwamba Jumuia ya Kimataifa ikiwemo Jumuia ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi(ECOWAS) imeanza mchakato wa kumshauri Jammeh akabidhi madaraka kwa amani la sivyo Gambia itawekewa vikwazo vya Kiuchumi!

Swali ni kwanini hatua kama hizo hazikuchukuliwa kwa Zanzibar na Serikali ya Tanzania Bara ilhali mazingira yalikuwa yaleyake kama ilivyo Gambia? Kuna nini kilikosekana hapo? Tujadili.
Baada ya Uchaguzi huru na haki huko Gambia, upinzani umeibuka Washindi chini ya Umoja wa vyama pinzani ukiongozwa na Adamu Burrow!
Rais aliyekuwa madarakani Yahya Jammeh kwanza alikubali matokeo na kumtumia salamu za pongezi Burrow kitendo kilichopongezwa na Jumuia za Kimataifa.

Vituko vilianza baada ya Jammeh kubatilisha kauli yake kwamba Uchaguzi haukuwa huru na haki hivo hawezi kukabidhi madaraka!!!

Uamuzi wa Yahya Jammeh unafanana kabisa na kilichotokea Zanzibar mwaka jana 2015 pale ambapo Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC) chini ya Jecha Salim Jecha ilipobatilisha matokeo baada ya CUF chini ya UKAWA kuibuka na ushindi mnono kwene viti vya Wawakilishi ndani ya BMZ!

Kinachoshangaza ni kwamba Jumuia ya Kimataifa ikiwemo Jumuia ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi(ECOWAS) imeanza mchakato wa kumshauri Jammeh akabidhi madaraka kwa amani la sivyo Gambia itawekewa vikwazo vya Kiuchumi!

Swali ni kwanini hatua kama hizo hazikuchukuliwa kwa Zanzibar na Serikali ya Tanzania Bara ilhali mazingira yalikuwa yaleyake kama ilivyo Gambia? Kuna nini kilikosekana hapo? Tujadili.
 
Ukweli ndio huo,Africa bado inahitaji kutawaliwa kabisa,viongozi Wa Africa hawawezi kuwa smart kabisa
 
Hata mimi nazishangaa jumuiya za kimataifa zinazoingilia mambo ya Gambia wkt Zanzibar walikaa kimya kbsa kama hawaoni vile.
 
Hata mimi nazishangaa jumuiya za kimataifa zinazoingilia mambo ya Gambia wkt Zanzibar walikaa kimya kbsa kama hawaoni vile.

Hii ndo tunaita double standard business! Kwani Tanzania kuna kitu gani wanaogopa hawa Jumuia za Kimataifa? Ukiangalia kwa sasa Joseph Kabila wa DRC ameshamaliza muda wake lakini jamaa kangangania Ikulu hataki kutoka! Jumuia za Kimataifa zina shout aondoke mpaka Papa amemwambia Kabila atafakari na awasikilize Wakongoman wanachotaka!
Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seifu na Viongozi wa CHADEMA/UKAWA wamezunguka mpaka Ulaya, Asia na Marekani lakini hakuna kinachondelea! Nini tatizo hapa?
Mwenye majibu sahihi naomba atujuze pse!
 
Hii ndo tunaita double standard business! Kwani Tanzania kuna kitu gani wanaogopa hawa Jumuia za Kimataifa? Ukiangalia kwa sasa Joseph Kabila wa DRC ameshamaliza muda wake lakini jamaa kangangania Ikulu hataki kutoka! Jumuia za Kimataifa zina shout aondoke mpaka Papa amemwambia Kabila atafakari na awasikilize Wakongoman wanachotaka!
Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seifu na Viongozi wa CHADEMA/UKAWA wamezunguka mpaka Ulaya, Asia na Marekani lakini hakuna kinachondelea! Nini tatizo hapa?
Mwenye majibu sahihi naomba atujuze pse!
Tatizo Zanzibar Sio NCHI. (ukweli mchungu, vumilia tu ndo ukweli wenyewe huo)
 
Baada ya Uchaguzi huru na haki huko Gambia, upinzani umeibuka Washindi chini ya Umoja wa vyama pinzani ukiongozwa na Adamu Burrow!
Rais aliyekuwa madarakani Yahya Jammeh kwanza alikubali matokeo na kumtumia salamu za pongezi Burrow kitendo kilichopongezwa na Jumuia za Kimataifa.

Vituko vilianza baada ya Jammeh kubatilisha kauli yake kwamba Uchaguzi haukuwa huru na haki hivo hawezi kukabidhi madaraka!!!

Uamuzi wa Yahya Jammeh unafanana kabisa na kilichotokea Zanzibar mwaka jana 2015 pale ambapo Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC) chini ya Jecha Salim Jecha ilipobatilisha matokeo baada ya CUF chini ya UKAWA kuibuka na ushindi mnono kwene viti vya Wawakilishi ndani ya BMZ!

Kinachoshangaza ni kwamba Jumuia ya Kimataifa ikiwemo Jumuia ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi(ECOWAS) imeanza mchakato wa kumshauri Jammeh akabidhi madaraka kwa amani la sivyo Gambia itawekewa vikwazo vya Kiuchumi!

Swali ni kwanini hatua kama hizo hazikuchukuliwa kwa Zanzibar na Serikali ya Tanzania Bara ilhali mazingira yalikuwa yaleyake kama ilivyo Gambia? Kuna nini kilikosekana hapo? Tujadili.
Usilinganishe mambo ya maana ya Zanzibar na mambo ya kipuuzi ya Gambia. Zanzibar Matokeo ya Rais yalikuwa hayajatangazwa na haijulikani alishinda nani licha ya Bwana mmoja kujipa Mamlaka ya Tume na kujitangaza ameshinda ambao ni UHAINI. Gambia tayari matokeo yalishatangazwa na Mshindi dunia nzima inamjua na Jammeh alishakubali matokeo hapo mwanzo kabla hajageuka! Kwa hiyo mambo ya Gambia na Zanzibar hayafanani kabisa!
 
Tatizo Zanzibar Sio NCHI. (ukweli mchungu, vumilia tu ndo ukweli wenyewe huo)

Usilinganishe mambo ya maana ya Zanzibar na mambo ya kipuuzi ya Gambia. Zanzibar Matokeo ya Rais yalikuwa hayajatangazwa na haijulikani alishinda nani licha ya Bwana mmoja kujipa Mamlaka ya Tume na kujitangaza ameshinda ambao ni UHAINI. Gambia tayari matokeo yalishatangazwa na Mshindi dunia nzima inamjua na Jammeh alishakubali matokeo hapo mwanzo kabla hajageuka! Kwa hiyo mambo ya Gambia na Zanzibar hayafanani kabisa!

Mwarukuni,
Zanzibar ni nchi kulingana na Katiba ya Zanzibar na JMT.
Rais wake anapigiwa mizinga 21 mbele ya Rais wa Tanzania Bara na ina bendera yake, jeshi lake JKU, Mamlaka ya Mapato inayojitegemea.

Gangongine,
Utakuwa huelewi unachozungumza! Kama unaona Gambia ni mambo ya kipuuzi hata ya Zanzibar ni ya kipuuzi tu! Alichofanya Jammeh ni kuwaruhusu Tume ya Uchaguzi kutangaza matokea ingawa hakuwa radhi! Kwa Zanzibar alichofanya Shein baada ya kuona kura nyingi zinaenda CUF alimwagiza Jecha avuruge matokeo ya ushindi wa CUF! Huo ni ukweli mchungu na utabakia hivo!
CCM msitake kuwafanya Wazanzibar na Wabara kuwa hamnazo. Watu wana full mkanda wa kilichotokea 2015, hivo usitake kuleta hoja za kipuuzi.
 
Hii ndo tunaita double standard business! Kwani Tanzania kuna kitu gani wanaogopa hawa Jumuia za Kimataifa? Ukiangalia kwa sasa Joseph Kabila wa DRC ameshamaliza muda wake lakini jamaa kangangania Ikulu hataki kutoka! Jumuia za Kimataifa zina shout aondoke mpaka Papa amemwambia Kabila atafakari na awasikilize Wakongoman wanachotaka!
Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seifu na Viongozi wa CHADEMA/UKAWA wamezunguka mpaka Ulaya, Asia na Marekani lakini hakuna kinachondelea! Nini tatizo hapa?
Mwenye majibu sahihi naomba atujuze pse!
Huyo Seif naye aache tamaa! Atagombeaje mara 5 yeye tu? Wengine hawapo kwani?
 
Huyo Seif naye aache tamaa! Atagombeaje mara 5 yeye tu? Wengine hawapo kwani?

Nini tofauti ya Seifu kuendelea kugombea Urais wa Zanzibar mfululizo na CCM kung'ang'ania kuongoza kwa miongo zaidi ya 50 mfululizo? It doesn't make any difference!!!
Kule kang'ang'ania mtu huku kang'ang'ania chama ngoma droo!
 
Nini tofauti ya Seifu kuendelea kugombea Urais wa Zanzibar mfululizo na CCM kung'ang'ania kuongoza kwa miongo zaidi ya 50 mfululizo? It doesn't make any difference!!!
Kule kang'ang'ania mtu huku kang'ang'ania chama ngoma droo!
Dogo CCM hai"nganganii"(ng'ang'anii) bali inachaguliwa kwa kushinda Uchaguzi kihalali. Wagombea hupokezana siyo kama huko Kwenu! Halafu punguza hasira kwa kuwa CCM itaendelea kutawala hadi 2055 bila Wapinzani kuonja IKULU!!
 
Mwarukuni,
Zanzibar ni nchi kulingana na Katiba ya Zanzibar na JMT.
Rais wake anapigiwa mizinga 21 mbele ya Rais wa Tanzania Bara na ina bendera yake, jeshi lake JKU, Mamlaka ya Mapato inayojitegemea.

Nchi ukiwa ndani, Nje si nchi yakhee. Katiba yake ni hiyo mnayoendelea "kuisigina"? (nasikia washika mpini wanaiita katiba ya Karume na Maalim), labda ndio maana ikapuuzwa. Mizinga 21 na JKU ni kama "kumwambia mtoto usilie nitakupa pipi"...
 
Dogo CCM hai"nganganii"(ng'ang'anii) bali inachaguliwa kwa kushinda Uchaguzi kihalali. Wagombea hupokezana siyo kama huko Kwenu! Halafu punguza hasira kwa kuwa CCM itaendelea kutawala hadi 2055 bila Wapinzani kuonja IKULU!!

Yakhe nimekupata!
Kwa staili ya Jecha mtatawala mpaka al-kiyama!! Lakini kama kina Jecha na Wapambe wao watadhibitiwa hakuna kufika hata 2020! Weye subiri tu mabadiliko ya kimbunga nina hakika umeshaanza kuona mabadiliko yanayoanza kuinyemelea dunia baada ya Rais mteule wa Marekani kutuma salaamu kwa Viongozi na vyama vyenye kutawala kimabavu duniani!!
CCM hawata hepa kihunzi hiki, ni swala la muda tu!!!
 
Mwarukuni,
Zanzibar ni nchi kulingana na Katiba ya Zanzibar na JMT.
Rais wake anapigiwa mizinga 21 mbele ya Rais wa Tanzania Bara na ina bendera yake, jeshi lake JKU, Mamlaka ya Mapato inayojitegemea.

Gangongine,
Utakuwa huelewi unachozungumza! Kama unaona Gambia ni mambo ya kipuuzi hata ya Zanzibar ni ya kipuuzi tu! Alichofanya Jammeh ni kuwaruhusu Tume ya Uchaguzi kutangaza matokea ingawa hakuwa radhi! Kwa Zanzibar alichofanya Shein baada ya kuona kura nyingi zinaenda CUF alimwagiza Jecha avuruge matokeo ya ushindi wa CUF! Huo ni ukweli mchungu na utabakia hivo!
CCM msitake kuwafanya Wazanzibar na Wabara kuwa hamnazo. Watu wana full mkanda wa kilichotokea 2015, hivo usitake kuleta hoja za kipuuzi.
Punguza hasira basi! Dr. Shein alichaguliwa kihalali kwenye Uchaguzi wa Mwezi Machi 2016 ambapo CUF walisusa baada ya kuvuruga ule wa Oktoba, 2015 kwa Bwana Fulani kujitangaza ameshinda kabla ya Tume kutoa Matangazo (ambao ni UHAINI pia). Jecha amezingatia Sheria kikamilifu kwa kufuta Matokeo ya Uchaguzi ule batili na kuitisha uchaguzi wa Marudio. Kama mlisusa basi imekula kwenu!!
 
Punguza hasira basi! Dr. Shein alichaguliwa kihalali kwenye Uchaguzi wa Mwezi Machi 2016 ambapo CUF walisusa baada ya kuvuruga ule wa Oktoba, 2015 kwa Bwana Fulani kujitangaza ameshinda kabla ya Tume kutoa Matangazo (ambao ni UHAINI pia). Jecha amezingatia Sheria kikamilifu kwa kufuta Matokeo ya Uchaguzi ule batili na kuitisha uchaguzi wa Marudio. Kama mlisusa basi imekula kwenu!!

Hapana marefu yasiyo na ncha yakhe! Huyo Shein anasumbuliwa na tamaa ya kukaa Ikulu! Jitu limekaa Ikulu ya Bara kama Makamu wa Rais miaka 8, bado linataka likae Ikulu ya Zenj miaka 10, kama siyo urojo wa madaraka tuite nini ati????
Anyway, Dawa yenu iko jikoni ni swala la muda tu!
 
Baada ya Uchaguzi huru na haki huko Gambia, upinzani umeibuka Washindi chini ya Umoja wa vyama pinzani ukiongozwa na Adamu Burrow!
Rais aliyekuwa madarakani Yahya Jammeh kwanza alikubali matokeo na kumtumia salamu za pongezi Burrow kitendo kilichopongezwa na Jumuia za Kimataifa.

Vituko vilianza baada ya Jammeh kubatilisha kauli yake kwamba Uchaguzi haukuwa huru na haki hivo hawezi kukabidhi madaraka!!!

Uamuzi wa Yahya Jammeh unafanana kabisa na kilichotokea Zanzibar mwaka jana 2015 pale ambapo Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC) chini ya Jecha Salim Jecha ilipobatilisha matokeo baada ya CUF chini ya UKAWA kuibuka na ushindi mnono kwene viti vya Wawakilishi ndani ya BMZ!

Kinachoshangaza ni kwamba Jumuia ya Kimataifa ikiwemo Jumuia ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi(ECOWAS) imeanza mchakato wa kumshauri Jammeh akabidhi madaraka kwa amani la sivyo Gambia itawekewa vikwazo vya Kiuchumi!

Swali ni kwanini hatua kama hizo hazikuchukuliwa kwa Zanzibar na Serikali ya Tanzania Bara ilhali mazingira yalikuwa yaleyake kama ilivyo Gambia? Kuna nini kilikosekana hapo? Tujadili.
Mimi sioni tofauti yoyote,walio madarakani wameng'ang'ania
 
SADC wanaiogopa Tanzania, halaf kipindi hicho Mkuu wa SADC alikuwa Jakaya kama sikosei!
 
Back
Top Bottom