Milale
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 494
- 189
Wanajamvi nimepita hapo maeneo ya ukonga mda huu,kuna kundi kubwa la makomando wa kijeshi pamoja na FFU wakiwa wamebeba siraha n
zito nzito,na makomando wa kigeni pia wamekusanyika makundi makund,na siraha na magar yote yamesimamishwa,mwenye kuelewa zaid atufahamishe wana jamvi,maana watu wameanza kupata hofu.
zito nzito,na makomando wa kigeni pia wamekusanyika makundi makund,na siraha na magar yote yamesimamishwa,mwenye kuelewa zaid atufahamishe wana jamvi,maana watu wameanza kupata hofu.