msem
JF-Expert Member
- Nov 7, 2015
- 1,832
- 1,627
Hiyo tabia ya kususa kwa kuwa tumeshaizoea miongoni mwao hakuna jipya linaloakisiwa hapo-bado wapinzani ni wale waleHabari wanabodi,
Kuna taarifa kuwa, ili kuonesha kuchukizwa na Ufisadi/Rushwa. Wapinzani wamekubaliana kutoka nje kwenye vikao vyote vya Bunge vitakavyoongozwa na Chenge.
Hii imefikiwa kwenye kikao kilichofanyika jana wakati wakijadili swala la matangazo ya Bunge kutotangazwa live TBC.