SonGod emo
Member
- Apr 5, 2012
- 17
- 12
Tarehe 02 Julai nilikuwepo eneo la uwanja wa ndege kia nikiwa na shughuli zangu binafsi majira ya saa 1430. Ilitua ndege kubwa aina ya ya Airbus iliyovuta hisia za watu wengi sana wakiwemo wafanyakazi wa uwanja huo.
Nilijivuta karibu na kutaka kujua ni kina nani wako na ndege hiyo nilipouliza niliambiwa ni mtoto wa mfalme wa Dubai amekuja kwa ajili ya kwenda kuwinda kwenye kambi yao iliyoko Loliondo.
Kama tunavyojua taratibu za kitaifa au kimataifa mtu yeyote anaeingia nchi yoyote ile awe mwenyeji au mgeni ni lazima akaguliwe na Immigration pamoja na Customs yaani wakiwemo Tra cha kushangaza watu hao wilishuka kwenye Airbus na mizigo yao na kuingia kwenye ndege ingine tayari kwa safari ya loliondo nilipouliza ni kwa nini? Nilijibiwa huyo ndo mfalme ameshamwaga pesa kila kona kwenye idara zote je?
Nchi kama Kenya watu wanaweza kufanya upuuzi huuuu kweli? Sishangai kuona wanyama wakisafirishwa kwenda nje ya nchi pamoja na udongo kwa ajili ya kuoteshea maua ua mfalme wa Dxb ni kutokana na KIA imekuwa kama lango la uhaini, uharamia kwa sababu ya njaaa za viongozi wachache wasiokuwa na uchungu wa nchi yao.
Nawasilisha wandugu.
Nilijivuta karibu na kutaka kujua ni kina nani wako na ndege hiyo nilipouliza niliambiwa ni mtoto wa mfalme wa Dubai amekuja kwa ajili ya kwenda kuwinda kwenye kambi yao iliyoko Loliondo.
Kama tunavyojua taratibu za kitaifa au kimataifa mtu yeyote anaeingia nchi yoyote ile awe mwenyeji au mgeni ni lazima akaguliwe na Immigration pamoja na Customs yaani wakiwemo Tra cha kushangaza watu hao wilishuka kwenye Airbus na mizigo yao na kuingia kwenye ndege ingine tayari kwa safari ya loliondo nilipouliza ni kwa nini? Nilijibiwa huyo ndo mfalme ameshamwaga pesa kila kona kwenye idara zote je?
Nchi kama Kenya watu wanaweza kufanya upuuzi huuuu kweli? Sishangai kuona wanyama wakisafirishwa kwenda nje ya nchi pamoja na udongo kwa ajili ya kuoteshea maua ua mfalme wa Dxb ni kutokana na KIA imekuwa kama lango la uhaini, uharamia kwa sababu ya njaaa za viongozi wachache wasiokuwa na uchungu wa nchi yao.
Nawasilisha wandugu.