Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 304
- 1,096
Nimetoka kukamatwa na askari tigo wale wanaopakizanaga kwenye pikipiki...kwanza picha linaanza Mimi mwenyewe nimeishiwa mafuta ndio nimetoka kumshusha abiria wangu achukue usafiri mwingine ..wakati napiga hesabu ninaeendaje Petro station Sina hili Wala lile Mara jamaa hao...walivofika sikuwa na Chochote zaidi ya kusema tu Sina hela yoyote ila pikipiki hii hapa Kama mnanipeleka polisi sawa...wakasema sawa hakuna shida ngoja tukupige mguu Hadi kituoni...nikawaambia sawa
Wakaanza kuniambia ko huna hela yoyote Ile ..mi nikawajibu Sina Nina 3500 tu ndio hio ya mafuta na ndio nilitaka nisukume pikipiki hadi sheli,...bhasi wakaachana na mimi wakaenda zao...kiukweli wamenishika Sina hela yoyote Ile wamekosa namna..
Wakaanza kuniambia ko huna hela yoyote Ile ..mi nikawajibu Sina Nina 3500 tu ndio hio ya mafuta na ndio nilitaka nisukume pikipiki hadi sheli,...bhasi wakaachana na mimi wakaenda zao...kiukweli wamenishika Sina hela yoyote Ile wamekosa namna..