Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,374
- 161,379
Tena mapaja makubwaaaaaBila shaka tena katikati ya mapaja
Tena mapaja makubwaaaaaBila shaka tena katikati ya mapaja
Sijui nikatoe talaka ya masaa ebu nishauri mamilo.
Hahaha tuma namba pmOgoha vijana, wanaongea tuuu mpaka uzi umefika 1k lakini hawatoi hata mia
si ndio unamwamini huyoKazi yako pevu kumbee
Mimi au Manga,?tatizo sio mistari tatizo vitendo
Mkeo wa zamani anasema we mchoyo baba Jessica haoni ndaniYana pesa sakayo si nilienda kutafuta ndo mpaka nikatemwa
wanajiona mrisho mpotoShunie yeye ni hela tuu, sasa nyie mwaandika kawaambia anataka Watunzi
Haya fungua tuweke hafu tuta zipeleka kwa awamuzitaenda bank
umejua kutuchanganya
hahahahPonea ya Husna ni kufunga huu uzi abaki pm na Daby wake
Heheheau wambeke ujue sijamuona mda shemeji yangu
Hadi mimi shemeji....koh nijeHawa ni nyuki wa mashine kabisa, hamna kitu.
Ndio, aliniagaOooh kumbe aliaga!
Iceman 3d atakua anajua alipoIla supermarket alikuwa ananichekesha aseeh sijui huyu jamaa kapotelea wapi
hapa kwangu ndio hanipati pesa mbele utu badaeHuyu anakufunga kamba tu, pesa zake hazitoki, ndio maana nilimuacha.
Wewe stori gani hizo mbele ya vigori vizurii. ..tutambiana hayo kwenye uke uzi wangu bhnaHapo bado hajakamatia nzi na uzi