Baada ya kifo chake kumezuka makundi makubwa mawili yanayo kinzana. Moja ni wale wanaoamini kuwa alikuwa shujaa wa kipekee na ameifanyia nchi yetu makubwa. Kundi la pili wanamuona kama rais mbovu kuwahi kutokea, dikteta, fisadi, mkabila, katili nk.
Kwa maelezo hayo naweza kusema kuwa ni rais aliyekuwa controversial. Je kuna anayeweza kuandika kitabu juu ya urais wake kwa usahihi na ukakubalika?
Kwa maelezo hayo naweza kusema kuwa ni rais aliyekuwa controversial. Je kuna anayeweza kuandika kitabu juu ya urais wake kwa usahihi na ukakubalika?