Picha ya wabunge wa CCM (Sophia Simba na Esther Bulaya) wakimkumbatia Rose Kamili (Chadema) jana mjini Dodoma ambapo kesi ya kupinga ndoa ya dr Slaa ilimeanza.
Picha ya wabunge wa CCM (Sophia Simba na Esther Bulaya) wakimkumbatia Rose Kamili (Chadema) jana mjini Dodoma ambapo kesi ya kupinga ndoa ya dr Slaa ilimeanza.
Sina hakika kama unachotaka kujua ni kigezo kilichotumika, lakini kama ni hivyo, iliangaliwa elimu ya mgombea, mchango wake katika kukijenga/kukikuza chama nk. Nijuavyo, huyu mama alikuwa diwani wa CCM hadi 2010. Alipataje ubunge kwa kipindi kifupi alichojiunga na CDM inabaki kitendawili.huyu rose alipataje uviti maalumu kipezo kilikuwa kipi? ilikuwa ni hongo au ni nini mbona majembe kibao wapo huku mb af wakakosa. Atakaye nijibu asitumie jazba maana atatoka nje ya swali naipenda cdm na ndo maana ctaicha ikizingua . CDM 4 CHANGE LET US CHANGE WE FIRST IF THERE IS ANY INCONVINIENCE. CDM IN MY BLOOD!
Tatizo ni udhaifu wa CDM kuwadhibiti wanachama wake kununuliwa na CCM.