yes mchezo wenyewe ni katiba. Kila mtu anaitaka lakini wananchi walio wengi including wapinzani wamegoma kucheza mpaka kanuni zifuatwe. Ccm wanatulazimisha tuingie tucheze lakini bila kanuni hamna raha ya mchezo. Ni wazi upinzani wamekataa kabisa kuingia kucheza; wamekaa pembeni, sijajua wanachi wameamu nini hasa. Je wamekaa pembeni tu au wanampango wakuingia na kuvuruga mchezo mzima ili tuanze upya kwa taratibu/kufuata kanuni? Au watakubali kucheza kama wanavyoshauriwa na ccm bila kufuata kanuni?
Kuna mchezo unachezwa na wapo wanaopenda kucheza mchezo huo. Mchezo unaochezwa na wenye kucheza hucheza. Mchezo huo huchezwa na wale wenye kuupenda mchezo huo. Ukikaa pembeni wanakushangaa kwanini hutaki kucheza na ukiingia kucheza utakavyo watakuuliza 'mbona huchezi kama sisi'?
Ukiwaambia mchezo wenu haufuati kanuni wala mlio wa muziki watakuambia haijalishi wewe cheza tu alimradi uonekane unacheza.
Kuna mchezo unachezwa na wapo wanaopenda kucheza mchezo huo. Ukialikwa kucheza utacheza au utabakia kutazama? Au utajaribu kutaka mchezo ubadilishwe ili wengi waufurahie kwa kufuata kanuni, na mirindimo yenye kuendana na uzuri wa mchezo wenyewe?
Ndugu zangu, kuna mchezo unachezwa, na wapo wenye kupenda kucheza mchezo huo!
MMM
Kuna mchezo unachezwa na wapo wanaopenda kucheza mchezo huo. Mchezo unaochezwa na wenye kucheza hucheza. Mchezo huo huchezwa na wale wenye kuupenda mchezo huo. Ukikaa pembeni wanakushangaa kwanini hutaki kucheza na ukiingia kucheza utakavyo watakuuliza 'mbona huchezi kama sisi'? Ukiwaambia mchezo wenu haufuati kanuni wala mlio wa muziki watakuambia haijalishi wewe cheza tu alimradi uonekane unacheza. kuna mchezo unachezwa na wapo
Yes mchezo wenyewe ni katiba. Kila mtu anaitaka lakini wananchi walio wengi including wapinzani wamegoma kucheza mpaka kanuni zifuatwe. CCM wanatulazimisha tuingie tucheze lakini bila kanuni hamna raha ya mchezo. Ni wazi upinzani wamekataa kabisa kuingia kucheza; wamekaa pembeni, sijajua wanachi wameamu nini hasa. Je wamekaa pembeni tu au wanampango wakuingia na kuvuruga mchezo mzima ili tuanze upya kwa taratibu/kufuata kanuni? Au watakubali kucheza kama wanavyoshauriwa na CCM bila kufuata kanuni?
Kuna mchezo unachezwa na wapo wanaopenda kucheza mchezo huo. Mchezo unaochezwa na wenye kucheza hucheza. Mchezo huo huchezwa na wale wenye kuupenda mchezo huo. Ukikaa pembeni wanakushangaa kwa nini hutaki kucheza na ukiingia kucheza utakavyo watakuuliza 'mbona huchezi kama sisi'?
Ukiwaambia mchezo wenu haufuati kanuni wala mlio wa muziki watakuambia haijalishi wewe cheza tu alimradi uonekane unacheza.
Kuna mchezo unachezw