Kuna mchezo unachezwa TANESCO. Wahusika ni vigogo wakubwa sana!!

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,992
17,892
Naanika huu uozo hapa najua kuna usalama wa taifa ambao ni wazalendo au watu wa kwenye system wana uchungu na hii nchi....

Kuna hujuma zinafanywa kwa maagizo ya wakubwa fulani ipo hivi...

Wanatengeneza tatizo kisha wanalitatua

Mfano Kuna hujuma hapa juzi usiku mmoja transforma zaidi ya 10 zililipuka kwenye laini moja, wakaja wakasingizia ni hitilafu ya asili.

Kuna mtindo umeibuka wa kuhujumu mitambo ya umeme na vituo vya umeme, ndo maana kila siku hitilafu zinaibuka.

Nyuma ya hizi hitilafu kuna wakubwa wapo nyuma ya mgongo wa manunuzi,hawa wananunua vifaa cheap, vibovu na used kutoka nje kwa gharama kubwa ya bei sawa na kifaa kipya cha umeme kutoka Japan,au marekani....Hivi vifaa wanapiga hela mara mbili, kwanza wanatupiga kwenye manunuzi, pili wanaweka vibovu au vya kichina kwa lugha ya mjini ili viharibike tena wapate ulaji na posho, ndo maana sahv tanesco matengenezo na hitilafu limekua ni jambo la kawaida

Nimeambiwa kuna wakubwa wawili na kigogo mmoja mfanyabiashara mwenye asili ya Asia wanalimezea mate hili shirika yanafanyika mengi ili kusudi tanesco ionekane imefeli kwahyo ibinafsishwe then wapewe wao!!

Usalama wa taifa mko wapi?Taifa linahujumiwa kiasi hiki?Nilishadokezwa hadi kuna wakubwa walikua wakipiga simu umeme ukatwe tu ili ajenda zao zipite

Na kuna maeneo yamekua yakionyesha mpira wahusika wanachofanya wanaingia dili na wafanyakazi wasio wa waaminifu na tanesco wakate umeme aidha kipindi cha kwanza.au cha pili ili kusudi watu wakimbilie kwenye vibanda vyao au sehemu zao!!Imagine tanesco wanaweza kuendeshwa hadi na watu wachache kiasi hiki wanakata umeme kwasababu ya mtu mmoja na maslah yake binafsi hii inasikitisha sana.

Hii nchi ina usalama kweli?mbona wamelala nchi inahujumiwa hivi?
 
Naanika huu uozo hapa najua kuna usalama wa taifa ambao ni wazalendo au watu wa kwenye system wana uchungu na hii nchi....

Kuna hujuma zinafanywa kwa maagizo ya wakubwa fulani ipo hivi...

Wanatengeneza tatizo kisha wanalitatua

Mfano Kuna hujuma hapa juzi usiku mmoja transforma zaidi ya 10 zililipuka kwenye laini moja, wakaja wakasingizia ni hitilafu ya asili.

Kuna mtindo umeibuka wa kuhujumu mitambo ya umeme na vituo vya umeme, ndo maana kila siku hitilafu zinaibuka.

Nyuma ya hizi hitilafu kuna wakubwa wapo nyuma ya mgongo wa manunuzi,hawa wananunua vifaa cheap, vibovu na used kutoka nje kwa gharama kubwa ya bei sawa na kifaa kipya cha umeme kutoka Japan,au marekani....Hivi vifaa wanapiga hela mara mbili, kwanza wanatupiga kwenye manunuzi, pili wanaweka vibovu au vya kichina kwa lugha ya mjini ili viharibike tena wapate ulaji na posho, ndo maana sahv tanesco matengenezo na hitilafu limekua ni jambo la kawaida

Nimeambiwa kuna wakubwa wawili na kigogo mmoja mfanyabiashara mwenye asili ya Asia wanalimezea mate hili shirika yanafanyika mengi ili kusudi tanesco ionekane imefeli kwahyo ibinafsishwe then wapewe wao!!

Usalama wa taifa mko wapi?Taifa linahujumiwa kiasi hiki?Nilishadokezwa hadi kuna wakubwa walikua wakipiga simu umeme ukatwe tu ili ajenda zao zipite

Na kuna maeneo yamekua yakionyesha mpira wahusika wanachofanya wanaingia dili na wafanyakazi wasio wa waaminifu na tanesco wakate umeme aidha kipindi cha kwanza.au cha pili ili kusudi watu wakimbilie kwenye vibanda vyao au sehemu zao!!Imagine tanesco wanaweza kuendeshwa hadi na watu wachache kiasi hiki wanakata umeme kwasababu ya mtu mmoja na maslah yake binafsi hii inasikitisha sana.

Hii nchi ina usalama kweli?mbona wamelala nchi inahujumiwa hivi?
Ninadhani unafunguka kumbe unazunguka zunguka tu, funguka hapa ni JF, twambie wapi huko hizo mashine zimeungua kwa wakati mmoja... All in All TANESCO ni kero sana
 
Samia angekuwa serious hii nchi ingesimama, tatizo lake ni too soft, akishatoa maelekezo hafuatilii tena, anawaacha watendaji wafanye anachowaagiza huku yeye akiwa ameshasahau aliwaagiza kitu gani.

Huu mgao wa umeme usiokwisha nchi hii kwa zaidi ya miezi sita mostly unasababishwa na udhaifu wa Samia, bado hajawa na uwezo wa kuwahoji vizuri hao watendaji wake.

Anaamini kila wanachomwambia huku wao wakiwa wameshaujua udhaifu wake, wanamchezea akili at the expense ya kuwaumiza watanganyika, sijui kama Zanzibar kuna mgao wa umeme mkali kama huku bara...

Kama hakuna, hapo ndio kila mmoja aone udhaifu alionao kiongozi wetu, hata kama eneo la kijiografia Zanzibar ni dogo, lakini ingetakiwa nao wapate uchungu ule ule tunaoupata huku bara, kwasababu ya kugawana umeme kidogo uliopo.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Naanika huu uozo hapa najua kuna usalama wa taifa ambao ni wazalendo au watu wa kwenye system wana uchungu na hii nchi....

Kuna hujuma zinafanywa kwa maagizo ya wakubwa fulani ipo hivi...

Wanatengeneza tatizo kisha wanalitatua

Mfano Kuna hujuma hapa juzi usiku mmoja transforma zaidi ya 10 zililipuka kwenye laini moja, wakaja wakasingizia ni hitilafu ya asili.

Kuna mtindo umeibuka wa kuhujumu mitambo ya umeme na vituo vya umeme, ndo maana kila siku hitilafu zinaibuka.

Nyuma ya hizi hitilafu kuna wakubwa wapo nyuma ya mgongo wa manunuzi,hawa wananunua vifaa cheap, vibovu na used kutoka nje kwa gharama kubwa ya bei sawa na kifaa kipya cha umeme kutoka Japan,au marekani....Hivi vifaa wanapiga hela mara mbili, kwanza wanatupiga kwenye manunuzi, pili wanaweka vibovu au vya kichina kwa lugha ya mjini ili viharibike tena wapate ulaji na posho, ndo maana sahv tanesco matengenezo na hitilafu limekua ni jambo la kawaida

Nimeambiwa kuna wakubwa wawili na kigogo mmoja mfanyabiashara mwenye asili ya Asia wanalimezea mate hili shirika yanafanyika mengi ili kusudi tanesco ionekane imefeli kwahyo ibinafsishwe then wapewe wao!!

Usalama wa taifa mko wapi?Taifa linahujumiwa kiasi hiki?Nilishadokezwa hadi kuna wakubwa walikua wakipiga simu umeme ukatwe tu ili ajenda zao zipite

Na kuna maeneo yamekua yakionyesha enyempira wahusika wanachofanya wanaingia dili na wafanyakazi wasio wa waaminifu na tanesco wakate umeme aidha kipindi cha kwanza.au cha pili ili kusudi watu wakimbilie kwenye vibanda vyao au sehemu zao!!Imagine tanesco wanaweza kuendeshwa hadi na watu wachache kiasi hiki wanakata umeme kwasababu ya mtu mmoja na maslah yake binafsi hii inasikitisha sana.

Hii nchi ina usalama kweli?mbona wamelala nchi inahujumiwa hivi?
Hayo tuyaite mafisi kwenye nyika yao,yanatazama kushiba kwao tu1😝
 
Naanika huu uozo hapa najua kuna usalama wa taifa ambao ni wazalendo au watu wa kwenye system wana uchungu na hii nchi....

Kuna hujuma zinafanywa kwa maagizo ya wakubwa fulani ipo hivi...

Wanatengeneza tatizo kisha wanalitatua

Mfano Kuna hujuma hapa juzi usiku mmoja transforma zaidi ya 10 zililipuka kwenye laini moja, wakaja wakasingizia ni hitilafu ya asili.

Kuna mtindo umeibuka wa kuhujumu mitambo ya umeme na vituo vya umeme, ndo maana kila siku hitilafu zinaibuka.

Nyuma ya hizi hitilafu kuna wakubwa wapo nyuma ya mgongo wa manunuzi,hawa wananunua vifaa cheap, vibovu na used kutoka nje kwa gharama kubwa ya bei sawa na kifaa kipya cha umeme kutoka Japan,au marekani....Hivi vifaa wanapiga hela mara mbili, kwanza wanatupiga kwenye manunuzi, pili wanaweka vibovu au vya kichina kwa lugha ya mjini ili viharibike tena wapate ulaji na posho, ndo maana sahv tanesco matengenezo na hitilafu limekua ni jambo la kawaida

Nimeambiwa kuna wakubwa wawili na kigogo mmoja mfanyabiashara mwenye asili ya Asia wanalimezea mate hili shirika yanafanyika mengi ili kusudi tanesco ionekane imefeli kwahyo ibinafsishwe then wapewe wao!!

Usalama wa taifa mko wapi?Taifa linahujumiwa kiasi hiki?Nilishadokezwa hadi kuna wakubwa walikua wakipiga simu umeme ukatwe tu ili ajenda zao zipite

Na kuna maeneo yamekua yakionyesha mpira wahusika wanachofanya wanaingia dili na wafanyakazi wasio wa waaminifu na tanesco wakate umeme aidha kipindi cha kwanza.au cha pili ili kusudi watu wakimbilie kwenye vibanda vyao au sehemu zao!!Imagine tanesco wanaweza kuendeshwa hadi na watu wachache kiasi hiki wanakata umeme kwasababu ya mtu mmoja na maslah yake binafsi hii inasikitisha sana.

Hii nchi ina usalama kweli?mbona wamelala nchi inahujumiwa hivi?
" Na Mimi nataka niseme, Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
 
Natamani Umeme utoweke kabisa tuanze kutumia vibatari na mishumaa kama zama za mawe za kale naomba Tanesco musiwashe Umeme kabisa ...wewe TAIFA gani miaka 60 linatawaliwa na chama kimoja Alafu mnatumia muda mwingi kujadili maendeleo mnapoteza muda.. Tanesco hongera kwa kazi nzuri saaana..
 
Kuna uwezekano CDF aliliona hili kuwa huko Tanesco Kuna watoa maamuzi kuwa umeme uzimwe au la! Ambapo sio wenzetu
 
Samia angekuwa serious hii nchi ingesimama, tatizo lake ni too soft, akishatoa maelekezo hafuatilii tena, anawaacha watendaji wafanye anachowaagiza huku yeye akiwa ameshasahau aliwaagiza kitu gani.

Huu mgao wa umeme usiokwisha nchi hii kwa zaidi ya miezi sita mostly unasababishwa na udhaifu wa Samia, bado hajawa na uwezo wa kuwahoji vizuri hao watendaji wake.

Anaamini kila wanachomwambia huku wao wakiwa wameshaujua udhaifu wake, wanamchezea akili at the expense ya kuwaumiza watanganyika, sijui kama Zanzibar kuna mgao wa umeme mkali kama huku bara...

Kama hakuna, hapo ndio kila mmoja aone udhaifu alionao kiongozi wetu, hata kama eneo la kijiografia Zanzibar ni dogo, lakini ingetakiwa nao wapate uchungu ule ule tunaoupata huku bara, kwasababu ya kugawana umeme kidogo uliopo.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app

She is a beneficiary of embezzlement going on within Tanesco
 
Natamani Umeme utoweke kabisa tuanze kutumia vibatari na mishumaa kama zama za mawe za kale naomba Tanesco musiwashe Umeme kabisa ...wewe TAIFA gani miaka 60 linatawaliwa na chama kimoja Alafu mnatumia muda mwingi kujadili maendeleo mnapoteza muda.. Tanesco hongera kwa kazi nzuri saaana..
Mkuu umekuwa na mihemeko na hisia zaidi kuliko kushauri na kutoa maoni .😁
 
Back
Top Bottom