Tetesi: Kuna mashaka Bandarini. Serikali itoe tamko ya kinachoendelea ili kama yanayoripotiwa ni tetesi yasilete taharuki

Watanzania washenzi na wapumbavu sana! Zaidi ya ngono na mipira kwao hakuna mambo mengine ya msingi zaidi ya hayo. Huyo anayeomba asaidiwe kupiga kelele yeye hana mdomo? Au sauti yake imeumbwa kubishania mambo ya akina Pacome hadi wanachomana visu? STUPID!!!
 
Pasi ni zile zile fupi fupi tuu na wimbo ni ule ule "mama anaupiga mwingi" mapambio yaendelee huko mbele tafadhalini
 
Watimuliwe maana bandari waliifanya kama ya kwao na ndugu zao.Waje mtaani na wenyewe waingie kwenye mfumo nao wasote kama sisi katika kuvusha vitu.Maana wametuzalilisha sana ukitoka na mzigo Zanzibar....

NASEMA HIZII FUKUZA WOTEEEH WAJE WAZUNGU POTELEA MBALI
 
Dp weldi wameona kufanya kazi na mtanzania kwenye management ni mzigo, watz tunajua uwezo wetu na ufanisi wetu...UKO CHINI, yoyote anayetaka maximum output ni ngumu sana kuvumilia kufanya kazi na sisi. RAZIMA TUSEME UKWERI!!
Hii ingesemwa kwenye masharti ya mkataba wala isingeleta shida. Tatizo ni kwamba serikali ilisisitiza kwamba DP World wataongeza ajira, ila sasa wanapunguza ajira!
 
Acha kunukuu taarifa za wahuni wenzako wa Chadema.Yaani Mayanja Masele ndio source Yako? Harafu jf Huwa wanapiga ban kuweka taarifa za account binafsi kama main source Sasa inakuaje wewe wamekuachia unapotosha?
Mzee wa DP worlddddddddd leta ukweli sheikh 😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Dp weldi wameona kufanya kazi na mtanzania kwenye management ni mzigo, watz tunajua uwezo wetu na ufanisi wetu...UKO CHINI, yoyote anayetaka maximum output ni ngumu sana kuvumilia kufanya kazi na sisi. RAZIMA TUSEME UKWERI!!
Wiki iliyopita niliona wame'host seminar ,nikajua kuna jambo hapa mbeleni
 
Dp weldi wameona kufanya kazi na mtanzania kwenye management ni mzigo, watz tunajua uwezo wetu na ufanisi wetu...UKO CHINI, yoyote anayetaka maximum output ni ngumu sana kuvumilia kufanya kazi na sisi. RAZIMA TUSEME UKWERI!!
Umeiweka vizuri. Watanzania kila wakati wanafikiria "upigaji"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom