Tetesi: Kuna mashaka Bandarini. Serikali itoe tamko ya kinachoendelea ili kama yanayoripotiwa ni tetesi yasilete taharuki

Nimepitia mtandao wa X na kukuta mjadala kwenye kurasa wa Martin Maranja M asese almaarufu MMM kuhusu DP World kusitisha mikataba ya wafanyakazi ili kuleta wafanyakazi wao.

View attachment 2923488

View attachment 2923489

Serikali ambayo ni sehemu ya huu mkataba uliopigiwa kelele na wananchi, itoe maelezo kukanusha ama kufafanua kinachoendelea Bandarini kwa sasa.
Hawawezi kufanya kazi na wazembe km nyie
 
Kwa ule mkataba DP world ndio anaamua afanye kazi na nani na wapi ana haki ya kuwafukuza wafanyakazi wote na kutafuta wengine….hao walioletwa na serikali..watafutiwe pakufanya kazi pengine hata kwenye mashamba ya mpunga kilombero au kiwanda cha sukari kile cha NSSF…….
Dp World hoyeeeeeeeeee
Kiwanda cha sukari cha NSSF kinaitwa Mkulazi Mkuu. Nawakaribisha rafiki zangu waliokuwa wanafanya kazi bandarini kuna mashamba hapa mkulazi waje wafanye kazi za vibarua.
 
Nimepitia mtandao wa X na kukuta mjadala kwenye kurasa wa Martin Maranja M asese almaarufu MMM kuhusu DP World kusitisha mikataba ya wafanyakazi ili kuleta wafanyakazi wao.

View attachment 2923488

View attachment 2923489

Serikali ambayo ni sehemu ya huu mkataba uliopigiwa kelele na wananchi, itoe maelezo kukanusha ama kufafanua kinachoendelea Bandarini kwa sasa.
Bi kidawa anasemaje?
 
Hakuna namna, wageuzwe vibarua wa kufanya kazi za usafi kama wataweza au wapelekwe bandari zingine ambazo dp hawana mkataba huko. Ilikuwa ni dhahiri muwekezaji huyo kuja na wafanyakazi wake
 
Nikiri kwamba sijasoma mitazamo ya Wakuu waliochangia hapa.

Itoshe, wasiwasi unaonyeshwa na MMM pamoja na Wananchi wengi, unasema kwamba, awali ya yote, bado Mkataba au IGA baina ya Serikali ya Tanzania na DP World unatonyesha kidodnda- Kwamba, Wananchi hawajaridhishwa na mkataba huu.

Msanii umegusia Serikali itoe msimamo., Naunga mkono hoja. Ila mimi nataka, kama kweli CHADEMA ilikuwa na dhamira ya kuona mkataba huu unasitishwa, waitishe Maandamano.

Niwaulize, nani aliona bango linalosema ,Hatujaridhishwa na Mkataba wa DP world wakati wa Maandamano ya hivi karibuni?

Kwa hayo, mbali na Serikali kutoa maelezo yao ya kufafanua au kukanusha shutuma hizo, Nawqomba CHADEMA kama chama kitoe tamko rasmi na kujumuisha upingaji wa mkataba ule kwenye maandamano yao yajayo.
Serikali ambayo ni sehemu ya huu mkataba uliopigiwa kelele na wananchi, itoe maelezo kukanusha ama kufafanua kinachoendelea Bandarini kwa sasa.
 
Dp weldi wameona kufanya kazi na mtanzania kwenye management ni mzigo, watz tunajua uwezo wetu na ufanisi wetu...UKO CHINI, yoyote anayetaka maximum output ni ngumu sana kuvumilia kufanya kazi na sisi. RAZIMA TUSEME UKWERI!!
Keep in mind moja ya sababu ya kuuza bandari ni kuwa wezi umezidi bandarini
 
tutashitakiwa MIGA mkuu
Sema wezi wanashirikiana na viongozi wenye kutusaliti. Sasa kama DP wanavunja tangu mwanzo makubaliano ya kuajiri wananchi inakuaje tushindwe kesi dp wakivunja mkataba. Unless tulidanganywa kuhusu masharti ya mkataba na DP. Ndio maana wengi tumekua tukidai mkataba na DP uwekwe wazi. Kumbuka ule mkataba kati ya serikali na dubai kuna mzalendo alileak mitandaoni baada ya kuona yale madudu ya waarabu na vigogo nchini kutwaa bandari zote nchini kufanya kama mali yao binafsi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom