Ukback255
Senior Member
- Aug 31, 2016
- 174
- 276
Wakuu salamu,
Nimeona niilete hii kuna mama alifanikisha mimi kupata scholarship ya kusoma second degree nje ya nchi.
Ni mama msichana lakini yupo na miaka 37 wakati mimi nikiwa na miaka 28 kibaya zaidi kaolewa but sijawai jua mume wake kwa sababu sijawai muona.
Sasa hivi ananitaka kimapenzi kabisa alikuwa ni Mkurugenzi pale kitengo changu cha kazi. Alifanikisha kuniunganisha nikapata scholarship ya kwenda kusomeshwa nje degree ya pili na taasisi miliyokuwa nafanyia kazi siwezi itaja.
Lakina cha kushangaza alikuwa akinipa dollar 2,000 kila baada ya miezi 6 pembeni ya ile scholarship yangu na taasisi ya kazi.
Nimekuwa nikiwasiliana naye kwa muda mrefu tokea nitoke nyumbani lakini mpaka sasa ni kuniambia ananipenda tu. Masomo nimemaliza na nimeamua kuzama ugaibuni maana naogopa hata kurudi nyumbani.
Wakuu mnishauri nifanyeje maana nimeshindwa kabisa nifanyeje huyu mama ananisumbua kweli ushauri wenu wakuu.
Nimeshindwa kutoa maelezo ya kutosha kwa sababu ya usalama wangu zaidi.
Nimeona niilete hii kuna mama alifanikisha mimi kupata scholarship ya kusoma second degree nje ya nchi.
Ni mama msichana lakini yupo na miaka 37 wakati mimi nikiwa na miaka 28 kibaya zaidi kaolewa but sijawai jua mume wake kwa sababu sijawai muona.
Sasa hivi ananitaka kimapenzi kabisa alikuwa ni Mkurugenzi pale kitengo changu cha kazi. Alifanikisha kuniunganisha nikapata scholarship ya kwenda kusomeshwa nje degree ya pili na taasisi miliyokuwa nafanyia kazi siwezi itaja.
Lakina cha kushangaza alikuwa akinipa dollar 2,000 kila baada ya miezi 6 pembeni ya ile scholarship yangu na taasisi ya kazi.
Nimekuwa nikiwasiliana naye kwa muda mrefu tokea nitoke nyumbani lakini mpaka sasa ni kuniambia ananipenda tu. Masomo nimemaliza na nimeamua kuzama ugaibuni maana naogopa hata kurudi nyumbani.
Wakuu mnishauri nifanyeje maana nimeshindwa kabisa nifanyeje huyu mama ananisumbua kweli ushauri wenu wakuu.
Nimeshindwa kutoa maelezo ya kutosha kwa sababu ya usalama wangu zaidi.