jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Tukiendelea na kufurahia ujio wa mwaka mpya 2023
Kwa wale Wanaume wenzangu ambao hawakupata nafasi ya kuhudhuria katika kikao cha wanaume kilicho fanyika alfajiri ya leo 01/01/2023.
Napenda kuwafahamisha kwamba katika kikao cha wanaume tumekubaliana;
Kwamba kama wanaume tumekubaliana kwa moyo mmoja hakuna kuoa mwanamke ambae ameondoka nyumbani kwao kwa Baba na Mama yake na kwenda kupanga huko mitaani iwe ni kwa sababu yeyote ile isipo kua tuu anaweza akafikiriwa kuolewa kama alienda kupanga kutokana na mazingira pamoja na aina ya kazi anayo ifanya nasio vinginevyo..
Nb::Mwanamke ambae hana wazazi wote wawili kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wake anatakiwa abaki ndani ya boma la ukoo/ familia / taasisi za kiuangalizi mpaka pale atakapo olewa na sio kuondoka na kwenda kupangisha mitaani na kama atakiuka hilo naye hatakiwi kuolewa.
Hayo ndio tuliyo kubaliana kama wanaume.
Kwa wale Wanaume wenzangu ambao hawakupata nafasi ya kuhudhuria katika kikao cha wanaume kilicho fanyika alfajiri ya leo 01/01/2023.
Napenda kuwafahamisha kwamba katika kikao cha wanaume tumekubaliana;
Kwamba kama wanaume tumekubaliana kwa moyo mmoja hakuna kuoa mwanamke ambae ameondoka nyumbani kwao kwa Baba na Mama yake na kwenda kupanga huko mitaani iwe ni kwa sababu yeyote ile isipo kua tuu anaweza akafikiriwa kuolewa kama alienda kupanga kutokana na mazingira pamoja na aina ya kazi anayo ifanya nasio vinginevyo..
Nb::Mwanamke ambae hana wazazi wote wawili kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wake anatakiwa abaki ndani ya boma la ukoo/ familia / taasisi za kiuangalizi mpaka pale atakapo olewa na sio kuondoka na kwenda kupangisha mitaani na kama atakiuka hilo naye hatakiwi kuolewa.
Hayo ndio tuliyo kubaliana kama wanaume.