Kuna makaka mahandsomeeee

mpaka mwenye
EARL.jpg
we unakubali mungu aliumba!

Hata nyumba unaweza mpa kwa vile handsome
 
mleta mada hajafafanua usuri wa mtu uko machoni pamtazamaji!

hata hivo mwanaume hasifiwi sura!

niliwahi kusikia dada mmoja anasema kuwa yeye hapendi wanaume wenye sura nzuri kama mademu!
 
Kama huyu:
Rostam+Aziz.jpg


Sorry, sijaona uhandsome wake, bora ungemuweka Elvis Presley, Toniks wa Uganda, Matokeo Chuma au Abba Seduu, but kila mtu ana mtizamo wake wa mwanaume handsome, I respect that, but wengine ni noma kila demu akimwona hata wanaume wenzao wanashtuka, unamkumbuka James Dandu.
 
Back
Top Bottom