mmmh! matusi!!!mwishowe utafanywa kinyume kisa handsommmmmmmmmmeeeeeeeeeee
jamani hii thread mbona imenifanya nikose raha, maana mie mbaya kweli, hivi ntapata mke kweli na kama nikimpata si hao mahandsomeee wataniibia?
utapata bwana.
astaghafulilah, eti atapata bwana??????
mpaka mwenyewe unakubali mungu aliumba!
hata wewe muuza sura uliachwa duuu hukufanya kazi ipasavyo nini!?hizo sifa nishapewa sana ila niliziona hazina maana nilipoachwa!
aah! Wewe jamani unataka kuniuzia kesi.
jamani hii thread mbona imenifanya nikose raha, maana mie mbaya kweli, hivi ntapata mke kweli na kama nikimpata si hao mahandsomeee wataniibia?
mpaka mwenyewe unakubali mungu aliumba!
Mwanamme asifiwi sura dada jestina,mwanamme anasifiwa kazi(mbupu) ndoa nyingi zimearibika kwa sababu ya hiyo kitu,mtu ana feza na sura nzuri lakini kazi hapigi(kajo la sakibi) haaaaaa naogopa BAN
TAFITI ZINAONYESHA MTU UKIWA NA GENYE(NAOGOPA BAN) KILA MTU KWAKO UNAMUONA MZURI,HATA KAMA AKIWA NA SURA KAMA MASOUD SURA MBAYA
mwishowe utafanywa kinyume kisa handsommmmmmmmmmeeeeeeeeeee
Swadakta haswa. Sifa zaidi kuweza kusimamia mountain bike kilimani na kukza mgongo, kujua shimo uliingie vipi ili umalize mlima kwa kasi.
mpaka mwenyewe unakubali mungu aliumba!