Kuna kundi kubwa la watumishi ambao bado hawajapata mshahara mpaka leo tarehe 25-10-2024

Ni kweli taasisi nyingi tu za umma bado hawapata mishahara yao hadi muda huu saa7 kasoro dakika 13 mchana.

Naomba Mungu anipe nguvu na huruma ya kuwavumilia watumishi niliowakopesha, nilipatwa na jazba sana kwa hatua ya kuchukua simu zao.

Nimetafakarii sana hatua Ile, nimejifunza jambo kama mwanaume napaswa kuwa na huruma wakati wote bila kuchoka.

Nawapa pole sana watumishi wote wa serikali ambao mpaka dakika hii hawajapata mishahara yao.

Mungu aendelee kuwasimamia nyakati hizi ngumu sitachoka na nitawavumilia muda wote.

Mungu awape nguvu poleni sana.

Ucha Mungu ni utu na huruma ni sehemu ya kuishi utu na ubinadamu.

Inshallah

Wadiz
Unalipa kodi kutokana na shughuli yako hiyo?
 
Ni kweli taasisi nyingi tu za umma bado hawapata mishahara yao hadi muda huu saa7 kasoro dakika 13 mchana.

Naomba Mungu anipe nguvu na huruma ya kuwavumilia watumishi niliowakopesha, nilipatwa na jazba sana kwa hatua ya kuchukua simu zao.

Nimetafakarii sana hatua Ile, nimejifunza jambo kama mwanaume napaswa kuwa na huruma wakati wote bila kuchoka.

Nawapa pole sana watumishi wote wa serikali ambao mpaka dakika hii hawajapata mishahara yao.

Mungu aendelee kuwasimamia nyakati hizi ngumu sitachoka na nitawavumilia muda wote.

Mungu awape nguvu poleni sana.

Ucha Mungu ni utu na huruma ni sehemu ya kuishi utu na ubinadamu.

Inshallah

Wadiz
Isije ikawa mikopo ya kausha damu hiyo

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Mtalipwa tu kuweni wavumilivu msilete taharuki, mama yupo kazini...mkiona hali ngumu mnaweza kukopa kidigito 🐒

IMG_20231025_161214.jpg
 
Ni kweli taasisi nyingi tu za umma bado hawapata mishahara yao hadi muda huu saa7 kasoro dakika 13 mchana.

Naomba Mungu anipe nguvu na huruma ya kuwavumilia watumishi niliowakopesha, nilipatwa na jazba sana kwa hatua ya kuchukua simu zao.

Nimetafakarii sana hatua Ile, nimejifunza jambo kama mwanaume napaswa kuwa na huruma wakati wote bila kuchoka.

Nawapa pole sana watumishi wote wa serikali ambao mpaka dakika hii hawajapata mishahara yao.

Mungu aendelee kuwasimamia nyakati hizi ngumu sitachoka na nitawavumilia muda wote.

Mungu awape nguvu poleni sana.

Ucha Mungu ni utu na huruma ni sehemu ya kuishi utu na ubinadamu.

Inshallah

Wadiz
Tuliposema fedha ya mishahara imelipwa kwenye kesi ughaibuni tulishambuliwa, sasa ukweli unajidhihirisha
 
Back
Top Bottom