Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,490
- 11,253
Ni kweli taasisi nyingi tu za umma bado hawapata mishahara yao hadi muda huu saa7 kasoro dakika 13 mchana.
Naomba Mungu anipe nguvu na huruma ya kuwavumilia watumishi niliowakopesha, nilipatwa na jazba sana kwa hatua ya kuchukua simu zao.
Nimetafakarii sana hatua Ile, nimejifunza jambo kama mwanaume napaswa kuwa na huruma wakati wote bila kuchoka.
Nawapa pole sana watumishi wote wa serikali ambao mpaka dakika hii hawajapata mishahara yao.
Mungu aendelee kuwasimamia nyakati hizi ngumu sitachoka na nitawavumilia muda wote.
Mungu awape nguvu poleni sana.
Ucha Mungu ni utu na huruma ni sehemu ya kuishi utu na ubinadamu.
Inshallah
Wadiz
Naomba Mungu anipe nguvu na huruma ya kuwavumilia watumishi niliowakopesha, nilipatwa na jazba sana kwa hatua ya kuchukua simu zao.
Nimetafakarii sana hatua Ile, nimejifunza jambo kama mwanaume napaswa kuwa na huruma wakati wote bila kuchoka.
Nawapa pole sana watumishi wote wa serikali ambao mpaka dakika hii hawajapata mishahara yao.
Mungu aendelee kuwasimamia nyakati hizi ngumu sitachoka na nitawavumilia muda wote.
Mungu awape nguvu poleni sana.
Ucha Mungu ni utu na huruma ni sehemu ya kuishi utu na ubinadamu.
Inshallah
Wadiz