Kuna kitu gani ambacho mtu wako wa karibu anakifanya hukipendi lakini unashindwa kumwambia?

Hehee kuna mtoto wa ndugu alikuja kwetu likizo. Stori za hapa na pale,, mtoto karopoka yan Lenie anapenda kutuma hata kama kitu kipo nyuma yake.

Hapo huyo Lenie ni mama yake mzazi,, mtoto kamtaja kwa jina lake. aloo mama Depal alikafinya 🤣

Mimi sipendi tabia ya mama kunilazimishia kupigia ndugu simu kisa ni mtoto mie ndio niwapigie kusalimia. Namwambiaga wao wana yao, nami nina yangu. Kukiwa na ulazima tutachekiana, kama haupo tukutane hivo hivo kibahati nasibu.

Yan kama sina cha kukuambia mimi simu sipigi.
Acha majivuno ,salimia watu !!.
 
ile kujisifia sana sikubarigi kabisa na jamaa angu yeye ni mtu wa showoff tu haijarishi yuko na nani ila majivuno ka ngonjera
Siipend mnoo hii tabia..but i dont judge.
Human Psychology describes the fact kwamba mtu always hupenda kujizumgumzia yeye primarily, ndio maana ni muhim sana kujizoesha kusikiliza zaid kwasababu utajikuta unawajua watu kirahisi sana
 
Hehee kuna mtoto wa ndugu alikuja kwetu likizo. Stori za hapa na pale,, mtoto karopoka yan Lenie anapenda kutuma hata kama kitu kipo nyuma yake.

Hapo huyo Lenie ni mama yake mzazi,, mtoto kamtaja kwa jina lake. aloo mama Depal alikafinya 🤣

Mimi sipendi tabia ya mama kunilazimishia kupigia ndugu simu kisa ni mtoto mie ndio niwapigie kusalimia. Namwambiaga wao wana yao, nami nina yangu. Kukiwa na ulazima tutachekiana, kama haupo tukutane hivo hivo kibahati nasibu.

Yan kama sina cha kukuambia mimi simu sipigi.
Hapo nakubali. Ni kama maza angu yeye anasema siwapigii simu ndugu au kuwatembelea , mara najitenga . Yaani hizo pigo sina. Kukiwa na ulazima nitapiga kinyume na hapo never.
 
Vyovyote itakavyoonekana. Kama sina stori sisumbui watu..
Maisha yanabadilika best, ndugu zako ndo watakao tafutwa kipindi umepata majanga hujitambui.

Binafsi Mimi nawapenda sana watanzania wenzangu,Siwezi kumpita mtu bila kumsalimia.
 
Kwenye maisha kuna vitu ambavyo mtu anaweza kuw anafanya kila mara na ikawa kero kwa wengine.

Hali hiyo anawaweza kuwa anaifanya kwa kujua kabisa makusudi kuwa anawakera watu wengine lakini wapo ambao wanaweza kufanya na wasijue kuwa kitendo wachokifanya ni kero kwa wenzake wanaokuwa karibu.

Kuna kitu gani ambacho mtu wako wa karibu anakifanya hukipendi lakini unashindwa kumwambia?
kuniforce kufanya jambo....we umekuja bwana ee nna 1 2 3 nimekupa jibu NO unaanza kulalamika na kulazmsha kufanya unavotaka ww aseee SIPENDI HIKI KITU na kingine kunibishia kitu nnachojua zaid yako oyaa UBINADAMU KAZI asee
 
Back
Top Bottom