mzalendo15
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 1,361
- 1,046
Kama wanaweka ndani Mwandishi anayeripoti kuwa eneo fulani lina uhaba wa maji ili kuficha tatizo basi hata hilo la Mapato ya TRA hawataki tujue Ukweli.
Kuna kaukweli kabisa. Mficha uchi hazai...