Kuna faida za nyumba ndogo?

HorsePower

JF-Expert Member
Aug 22, 2008
3,612
2,566
Samahani wadau, ningependa kujua ni nini hasa faida ya kuwa na nyumba ndogo? Binafsi naona kama nyumba ndogo ni resource consuming in terms of muda na pesa, pia zina inconviniences nyingi kwenye mahusiano. Naomba maoni yenu maana naona wengi wananyumba ndogo despite ya matatizo haya niliyoyaeleza.
 
1.unazijua faida za pombe?
2.faida za smoking?
3.faida za kuwa na timu ya mpira unayoshangilia?
 
Mmmmh, hiyo ni ventilation shaft, sijui unanipata sasa ngoma ikicollapse na hakuna ventilation shaft utaipata.

Unakumbuka ile story ya wachimbaji walofukiwa Chile, bila ventilation shaft ilikuwa imekula pande yao.

Au emergence door.
 
Samahani wadau, ningependa kujua ni nini hasa faida ya kuwa na nyumba ndogo? Binafsi naona kama nyumba ndogo ni resource consuming in terms of muda na pesa, pia zina inconviniences nyingi kwenye mahusiano. Naomba maoni yenu maana naona wengi wananyumba ndogo despite ya matatizo haya niliyoyaeleza.

Inajua kufariji kuliko nyumba kubwa
 
Samahani wadau, ningependa kujua ni nini hasa faida ya kuwa na nyumba ndogo? Binafsi naona kama nyumba ndogo ni resource consuming in terms of muda na pesa, pia zina inconviniences nyingi kwenye mahusiano. Naomba maoni yenu maana naona wengi wananyumba ndogo despite ya matatizo haya niliyoyaeleza.
HP,
Samahani kama nitakukwaza,
Umri wako unakaribia ngapi?
 
HP,
Samahani kama nitakukwaza,
Umri wako unakaribia ngapi?

Hivi kuna uhusiano kati ya umri na nyumba ndogo? Naamini mwenye nyumba ndogo yoyote ana umri wa kupambanua na kuchanganua mambo!
 
Umri unahu sana kwenye nyumba ndogo na ana maana sana hapo.

Watu wazima wote tunajua kazi ya nyumba ndogo ila wadogo wengi huwa hawajui, ila kama ni mdogo ukikuwa utaacha.

Ventilation shaft inahusu sana

Hivi kuna uhusiano kati ya umri na nyumba ndogo? Naamini mwenye nyumba ndogo yoyote ana umri wa kupambanua na kuchanganua mambo!
 
"Hivi topic za nyumba ndogo haziwezi kupumzika?" (Lizy, 2011) Naunga mkono Hoja. Am fed up na hizi topic jamani, mnapenda kutuweka wenzenu roho juu.

Tuongelee mambo ya kuboresha mahusiano na tupunguze kuongelea vitu haramu
 
Haramu zote tamu, afu nyumba ndogo zinatuongezea akili ya kutafuta hela kwa ajili ya nyumba ndogo na kubwa.

Zinatufanya tunapumzika roho na mwili, akili na maini tukitoka hapo tunajenga nchi kwa amanai.

Kwa hiyo haziwezi pumzika hata siku moja

"Hivi topic za nyumba ndogo haziwezi kupumzika?" (Lizy, 2011) Naunga mkono Hoja. Am fed up na hizi topic jamani, mnapenda kutuweka wenzenu roho juu.

Tuongelee mambo ya kuboresha mahusiano na tupunguze kuongelea vitu haramu
 
Umri unahu sana kwenye nyumba ndogo na ana maana sana hapo.

Watu wazima wote tunajua kazi ya nyumba ndogo ila wadogo wengi huwa hawajui, ila kama ni mdogo ukikuwa utaacha.

Ventilation shaft inahusu sana

Still confused, ina maana wenye nyumba ndogo ni wazee pekee??
 
Haramu zote tamu, afu nyumba ndogo zinatuongezea akili ya kutafuta hela kwa ajili ya nyumba ndogo na kubwa.

Zinatufanya tunapumzika roho na mwili, akili na maini tukitoka hapo tunajenga nchi kwa amanai.

Kwa hiyo haziwezi pumzika hata siku moja

Aiseee. . .
Kwahiyo na wewe unayo??

NK mi mwenyewe zimenichosha japo sina cheo cha nyumba kubwa. . .sijui wewe NK orijino zinakuboaje.
 
Kila dhambi aifanyayo mwanadamu ni nje ya mwili wake isipokuwa dhambi ya uzinzi, nyama ni ileile ila bucha ndo tofauti, sasa kipi unachofata nje ambacho mkeo hana, watu dizaini yako huwa mnanichefua sana roho coz mkipata hizo nyumba ndogo mnasahau hadi mke na watoto. Nakushauri uachane na huo mpango wa kishetani.
 
Nakuunga mkono kongosho,nyakati hizi ukishakua na mume ujua swala la mke mwenza huwezi kuliepuka,hayo mambo hata kwetu yaaaaaapo
Haramu zote tamu, afu nyumba ndogo zinatuongezea akili ya kutafuta hela kwa ajili ya nyumba ndogo na kubwa.

Zinatufanya tunapumzika roho na mwili, akili na maini tukitoka hapo tunajenga nchi kwa amanai.

Kwa hiyo haziwezi pumzika hata siku moja
 
Wewe unaeongea hivi inaonyesha ndio unatisha kwenye hili,mungu ndie anayekuona
Kila dhambi aifanyayo mwanadamu ni nje ya mwili wake isipokuwa dhambi ya uzinzi, nyama ni ileile ila bucha ndo tofauti, sasa kipi unachofata nje ambacho mkeo hana, watu dizaini yako huwa mnanichefua sana roho coz mkipata hizo nyumba ndogo mnasahau hadi mke na watoto. Nakushauri uachane na huo mpango wa kishetani.
 
Jamani tukubali tukatae nyumba ndogo zipo,bora hili lijadiliwe ili tujue huko nje ni kitu gani wanafuata,na sisi tulio ndani tufanyaje,tunahitaji maada zaidi za nyumba ndogo please,boss upo,
Nakuunga mkono kongosho,nyakati hizi ukishakua na mume ujua swala la mke mwenza huwezi kuliepuka,hayo mambo hata kwetu yaaaaaapo
 
Jamani tukubali tukatae nyumba ndogo zipo,bora hili lijadiliwe ili tujue huko nje ni kitu gani wanafuata,na sisi tulio ndani tufanyaje,tunahitaji maada zaidi za nyumba ndogo please,boss upo,
Kinachofuatwa nje ni faraja pindi nyumba kubwa inapoboa.. We muulize Fidel80 atakueleza
 
Nyumba ndogo ni kama DEIWAKA. Deiwaka analeta hesabu kubwa kuliko dereva au konda wa kudumu. Hii hasa ni kutaka kuchukuwa nafasi ya dereva au konda wa kudumu. Kwa kufanya hivyo wewe mwenye mali unaneemeka.... Naifagilia sana nyumba ndogo.
 
Nyumba ndogo huwa hai relax, inajituma kwa kila kitu tena kama ni understanding unakula bata mwanzo mwisho.
Mimi yangu kila nikifika najiona mpya maana ina mashamsham ya kufa mtu.
Kwa wale marijali ukikutana na nyumba ndogo ya Kitanga ndio utajua raha ya nyumba ndogo.
 
Back
Top Bottom