Naenda kusema kwa mama...Ukiwa na nyumba ndogo ucwe na matatizo yako madogo madogo. kama hauna kisu cha kutosha kuwa mvumilivu, uctamani vitu usivyoviweza. Nyumba ndogo nnayo na nnaihudumia ipasavyo and I dnt feel a pinch.
Naenda kusema kwa mama...
Hii topic mpaka yaleta malue lue jinsi ilivochosha.... Genuinely....
Nyumba ndogo ni janga la kitaifa nadhani adhabu kali itolewe kwa wanaozini na waume za watu familia nyingi zina majonzi shida na matatizo kutokana na nyumba ndogo embu fikiria hili baba kamnunulia nyumba ndogo nyumba upanga wakati mkewe wa ndoa anakaa madongo kuinama na kisha anahamia upanga na kuitelekeza familia yake je si ingekuwa vyema hiyo nyumba ya upanga ikakaliwa na mke wa ndoa na wanaye na kufurahia matunda ya baba!!!!!!tena adhabu ya kifungo cha maisha jela inawafaa ili wasiwepo katika jamii kuvuga ndoa za watu!!!